makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
- Thread starter
- #21
Kwa wale mnaokataamaandamano mtuambie njia mbadala.
Tatizo la Watanzania a.k.a. Wabongo ni kuwa wamejaa woga wakutupwa. Pengine hii imechangiwa sana na nchi hii kupata UHURU wa kupewa kwenyekisahani. Hili limetufanya Wabongo kubweteka na kudhani kuwa kila kitu kinakujakwa kupewa tu kama zawadi! Rais mstaafu Mwinyi alikuwa na msemo wa kilazama na kitabu chake. CCM bado wanafikiri Watanzania ni wale wa enzi zaujima.
Kwa sasa tunatakiwa tubadilikena tutoke hapo. Vinginevyo hawa MAFISADI wa Chama Cha Mafisadi wataendeleakutunyanyasa Wabongo kwa karne na karne.
Haiwezekani,haikubaliki na haingii akilini kwamba hapa kuna mtu anaishichini ya dolari 1(kwa maana ya less than 1,500/=) kwa siku aridhike ilhali kuna Mijitu(kwa maana ya WABUNGE NA MAFISADI) inakulaTshs.330,000/= kwa siku.
Tunasema KEKI ya Taifa iliyopo lazima tuigawane kwauwiano unaokubalika. Vinginevyo patachimbika hapa Bongo muda si mrefu ujao.
Tatizo la Watanzania a.k.a. Wabongo ni kuwa wamejaa woga wakutupwa. Pengine hii imechangiwa sana na nchi hii kupata UHURU wa kupewa kwenyekisahani. Hili limetufanya Wabongo kubweteka na kudhani kuwa kila kitu kinakujakwa kupewa tu kama zawadi! Rais mstaafu Mwinyi alikuwa na msemo wa kilazama na kitabu chake. CCM bado wanafikiri Watanzania ni wale wa enzi zaujima.
Kwa sasa tunatakiwa tubadilikena tutoke hapo. Vinginevyo hawa MAFISADI wa Chama Cha Mafisadi wataendeleakutunyanyasa Wabongo kwa karne na karne.
Haiwezekani,haikubaliki na haingii akilini kwamba hapa kuna mtu anaishichini ya dolari 1(kwa maana ya less than 1,500/=) kwa siku aridhike ilhali kuna Mijitu(kwa maana ya WABUNGE NA MAFISADI) inakulaTshs.330,000/= kwa siku.
Tunasema KEKI ya Taifa iliyopo lazima tuigawane kwauwiano unaokubalika. Vinginevyo patachimbika hapa Bongo muda si mrefu ujao.