Maandamano Kumpinga Kikwete

Maandamano Kumpinga Kikwete

Kaniki1974

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
352
Reaction score
22
Lini wana JF tusioridhishwa na utawala wa JK tutashika mabango na kuandamana kuupinga utawala huu ulioshindwa kufanya kazi tukimtaka aondoke pale magogoni? Aachie ngazi.
 
Maandamano ya nini wakati uchaguzi mwakani??? Kama watu kweli hatumtaki ni kumpigia kura ya hapana mwakani. Maandamano yetu uchaguzi 2010 na mabangi yetu ni kura. Cha kufanya ni kuhamasisha watu wote waliochoka na utawala wake wasimpigie kura tena mwakani.
 
Maandamano ya nini wakati uchaguzi mwakani??? Kama watu kweli hatumtaki ni kumpigia kura ya hapana mwakani. Maandamano yetu uchaguzi 2010 na mabangi yetu ni kura. Cha kufanya ni kuhamasisha watu wote waliochoka na utawala wake wasimpigie kura tena mwakani.

Huoni kama maandamano pia yaweza kuwa njia nzuri ya kuhamasisha asipigiwe kura 2010? Muda uliobaki si mdogo kwa JK kuzidi kuiburuzia nchi yetu shimoni...
 
Lini wana JF tusioridhishwa na utawala wa JK tutashika mabango na kuandamana kuupinga utawala huu ulioshindwa kufanya kazi tukimtaka aondoke pale magogoni? Aachie ngazi.


Usidhani wote ni wenzio hapa, hebu sema Malecela au Mengi ni fisadi uone moto utakavyowaka. Nani kasema nini ndio mtindo wa kisasa, watu bendera fuata upepo. Waoga kusimamia facts, wanasimamia maneno ya kusikia na uzoefu. Sio sheria na kanuni.

Jaribu kuitisha maandamano 'ya kumpinga Kikwete'.
 
Lini wana JF tusioridhishwa na utawala wa JK tutashika mabango na kuandamana kuupinga utawala huu ulioshindwa kufanya kazi tukimtaka aondoke pale magogoni? Aachie ngazi.

Hakuna anayekukataza kuandamana, nenda kwa Kova mwambie kuwa unataka kuandamana atakupa na askari wa kukulinda. Huhitaji kuomba watu hapa JF.
 
Hakuna anayekukataza kuandamana, nenda kwa Kova mwambie kuwa unataka kuandamana atakupa na askari wa kukulinda. Huhitaji kuomba watu hapa JF.

Watu kama wewe mnaoishia kuongea tu bila vitendo mnachangia sana nchi yetu kuongozwa ndivyo sivyo. Ukitajiwa 'maandamano' unaangalia ubaya tu wa neno hilo. Haina maana mawazo kubakia mawazo. Mawazo yenye kupelekea matendo ndio bora na mawazo bila matendo ni kama ndoto. Sishangazwi na kauli yako. Ninajua pia utaratibu wa kuandamana. Ninapinga utawala wa JK.
 
Usidhani wote ni wenzio hapa, hebu sema Malecela au Mengi ni fisadi uone moto utakavyowaka. Nani kasema nini ndio mtindo wa kisasa, watu bendera fuata upepo. Waoga kusimamia facts, wanasimamia maneno ya kusikia na uzoefu. Sio sheria na kanuni.

Jaribu kuitisha maandamano 'ya kumpinga Kikwete'.

I know that man....Napinga utawala wa JK.
 
Mkuu Kaniki mi nakuunga mkono sasa imefika wakati tuseme enough is enough...nami nimechoka
 
Watu kama wewe mnaoishia kuongea tu bila vitendo mnachangia sana nchi yetu kuongozwa ndivyo sivyo. Ukitajiwa 'maandamano' unaangalia ubaya tu wa neno hilo. Haina maana mawazo kubakia mawazo. Mawazo yenye kupelekea matendo ndio bora na mawazo bila matendo ni kama ndoto. Sishangazwi na kauli yako. Ninajua pia utaratibu wa kuandamana. Ninapinga utawala wa JK.

Hivi huoni kuwa wewe ndiyo unaongea tu na hufanyi vitendo?

ulitakiwa uje hapa na ushahidi kuwa umeandamana kupinga utawala wa JK, don't waste your time kwa kubishana hapa kwenye forum, nenda ukaombe kibali kwa Kova haraka tu.
 
Hakuna anayekukataza kuandamana, nenda kwa Kova mwambie kuwa unataka kuandamana atakupa na askari wa kukulinda. Huhitaji kuomba watu hapa JF.

Sasa nani amekuuliza ndg? Amekwambia hakujui kwa Kova? Amekwambia yupo Dar? Amekwambia anaomba watu ? Mdau ameuliza tu..ni lini sisi tusioridhishwa na utawala uliopo tuliopo humu JF tuoneshe hasira zetu..sasa linganisha hoja za mdau na upupu ulioleta.
 
Maandamano ya nini wakati uchaguzi mwakani??? Kama watu kweli hatumtaki ni kumpigia kura ya hapana mwakani. Maandamano yetu uchaguzi 2010 na mabangi yetu ni kura. Cha kufanya ni kuhamasisha watu wote waliochoka na utawala wake wasimpigie kura tena mwakani.

Wengine hatuamini ktk vyama, siasa wala uchaguzi. Tunaweza kutumia platform tofauti na hizo zilizo-predertemined kichwani mwako ktk kufikia malengo yaleyale ya kupata utawala bora unaowajibika.
 
Sasa nani amekuuliza ndg? Amekwambia hakujui kwa Kova? Amekwambia yupo Dar? Amekwambia anaomba watu ? Mdau ameuliza tu..ni lini sisi tusioridhishwa na utawala uliopo tuliopo humu JF tuoneshe hasira zetu..sasa linganisha hoja za mdau na upupu ulioleta.

Pundamilia anaweza kuwa alishinda kwenye viti virefu jana ;-)
 
DAWA KUBWA HAPA ni kuonyesha kutoridhika kwetu KUPITIA KURA
 
Sasa nani amekuuliza ndg? Amekwambia hakujui kwa Kova? Amekwambia yupo Dar? Amekwambia anaomba watu ? Mdau ameuliza tu..ni lini sisi tusioridhishwa na utawala uliopo tuliopo humu JF tuoneshe hasira zetu..sasa linganisha hoja za mdau na upupu ulioleta.

Sasa wewe ndiye unaeleta spin. Mtoa hoja hajakataa ambayo wewe unamtetea. Angalia majibu yake hapo nyuma linganisha na utetezi wako.
 
Pundamilia anaweza kuwa alishinda kwenye viti virefu jana ;-)

Hiyo ni dhana kwa hiyo sidhani hata kama ninatakiwa kutoa maelezo yeyote kwamba nilikuwa kwenye viti virefu au niki kwenye viti maalum.

Let us be realistic, wewe ulipoanzisha thread hii ulikuwa una mategemeo gani kutoka kwa wachangiaji wengine?
 
Yaani umeingia kutetea jambo ambalo hata hulijui? you can't be serious mkuu!

Sitetei kitu hapa na unanishangaza unaposema natetea..ndio maana nimekuuliza natetea yepi..huenda umenifananisha.

Nilichosema ni kuwa mdau ametoa hoja zake kuhusu maandamano ya watu wasoridhishwa na utawala ..na wewe ukarukia kuanza kuleta mambo ambayo ni out of context..
 
Back
Top Bottom