bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Hahahah nacheka ila kwa dharau..!Lugha uliyoitumia inadhihirisha kua huna hoja na uwezo wako wa uelewa ni mdogo sana wa haya masuala,ili usiendelee kujiaibisha ni bora ukawa msomaji tu na kuwaachia wajuzi wajadili.
Sent using Jamii Forums mobile app