- Thread starter
- #21
Is that justified? That is my point of contention!Lissu cha mtoto kulinganisha huyo mwanajeshi aliyeuwawa na wamarekani, Lissu anafanya ukibaraka kwa mabeberu wakati huyo Suleimani alikuwa anawauwa hao mabeberu.
Is that justified? That is my point of contention!Lissu cha mtoto kulinganisha huyo mwanajeshi aliyeuwawa na wamarekani, Lissu anafanya ukibaraka kwa mabeberu wakati huyo Suleimani alikuwa anawauwa hao mabeberu.
Hebu weka hapa hizo procedure za kua super power kisha utuambie ni lini Iran alitaka kujitangaza u super power?Iran wamzike kamanda wao wakae chini watafakari kama ugaidi unalipa au haulipi?
Tatizo Iran anataka kujitangazia u-super power wa Middle East bila kufata procedure.
Anajua au ni hisia zake tuu? amekuonyesha intelligence evidence yeyote kuhusu hiyo claim?
Wairani wapuuzi sana, waache kufadhili magaidi.Trump mwanaharamu anawaambia mkilipiza kisasi tu napiga maeneo 52 sawa na idadi ya wamarekani 52 waliotekwa miaka ile 1970 mwishoni.
Ukisikia ubabe ndio huu, mtu anakuja nyumbani kwako anaua mtoto wako halafu anakutangazia ubabe kwamba ukilipiza kisasi naua wote waliobakia.
Dunia haina haki hii, wakati wairan wanaomboleza bwana mkubwa anakula likizo ya mwaka mpya akicheza gofu na viongozi wengine wasaidizi wake.
Kumbuka watoto walioenda pale Ghuba wanataka watengeneze historia ya kuua watu wengi kwa iyo Iran atumie akili ya ukimiya ili mambo yapite. Wamezungukwa na maadaui kila kona kuanzia vikosi vya kijeshi, iPhone, iOS, Android, window, Symbian, Instagram, YouTube, Twitter, Facebook, Google, Maps, satellites, vaccines, Wikipedia, internetYeye ni amiri jeshi mkuu, anatoa maelekezo baada ya kupewa taarifa za kiinteligensia.

Na Ndio maana izo base zimeongezewa ulinzi sana, Sasa ivi, Iran anaweweseka sana
Procedure ipi?Iran wamzike kamanda wao wakae chini watafakari kama ugaidi unalipa au haulipi?
Tatizo Iran anataka kujitangazia u-super power wa Middle East bila kufata procedure.
Wataweweseka sana. Haya sasa fursa kwao kuifuta Israel kama wanavyojiapiza kila uchao; fursa hiyo imejileta yenyewe waitumie waache kulialia mitaani.wanaweweseka hawaamini kama kamanda waliekuwa wanamuabudu kapigwa na drone 🤣
Wenyewe wanamwita shahid.Iran kapewa mtihani mgumu sana na Marekani inabidi kabla hajafanya maamuzi afikirie sana asije kurupuka kwa lengo la kutaka kumfurahisha marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watu wameyachukulia hayo mambo kishabiki ila yamekaa vibayaProcedure ipi?
Acha upuuzi.
Irani wataanza na mabalozi wa Marekani kisha wakuu wa kambi za kijeshi.
Mmoja baada ya mwingine. Akipigwa hata mmoja tu Marekani watalia hao...wakati wameua mkuu wa majeshi wa nchi nyingine kipuuzi tu.
CNN kuna expert opinion, very interesting. Kasikilize utaona kuwa Iran si rahis kufanya anayoyasema.Iran kapewa mtihani mgumu sana na Marekani inabidi kabla hajafanya maamuzi afikirie sana asije kurupuka kwa lengo la kutaka kumfurahisha marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump ni shida yan.Wataweweseka sana. Haya sasa fursa kwao kuifuta Israel kama wanavyojiapiza kila uchao; fursa hiyo imejileta yenyewe waitumie waache kulialia mitaani.
Ndege yao imeshikiliwa huko Canada!Wanaandamania nini hao wairan?
Exactly, this is an opportunity to make their dreams on Israel extinction trueWataweweseka sana. Haya sasa fursa kwao kuifuta Israel kama wanavyojiapiza kila uchao; fursa hiyo imejileta yenyewe waitumie waache kulialia mitaani.
zipo nyingi. moja wapo ni kuitambua Israel kama taifa huru.Hebu weka hapa hizo procedure za kua super power kisha utuambie ni lini Iran alitaka kujitangaza u super power?
Anao ubavu huo??? Yeye alipize kisasi tuone aache kubwabwaja ovyo alipize kisasi tuone nani mbabe!!!Je na yeye anajua maeneo waliyoyatarget Iran pia?
Kwenye huu mgogoro nitanufaikaje?mi natazama fursa tu.
Alafu Trump kamtahadharisha akisubutu kumuua hata mmarekan mmoja tu, atashambulia vituo 52 ambavyo teyar vipo target, yaan Trump kampa angalizo dunia nzima imesikia, nafikir hata lawama kwa alichopanga kukitekelezaIran kapewa mtihani mgumu sana na Marekani inabidi kabla hajafanya maamuzi afikirie sana asije kurupuka kwa lengo la kutaka kumfurahisha marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app