Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 370,342
- 857,436
- Thread starter
- #21
Hizi mambo wabongo tunacomplicate tu,hiyo ni nyama kama nyngine zilivyo,nimewahi ishi na hawa wachina miaka 3,kiukwel kwenye upande wa lishe wanajal sana, kwao mpaka sasa watu wanafikisha miaka90+,wanakula sana natural,tazama sisi wa kuchagua chagua!!iko poa binafs nishakula tena zaid ya mbwa!!
Kitokacho ndio kharamu