SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,101
- 6,708
Haichekeshi, nimecheka😆😆😆Jinsi "Majenerali" watakavyo jipanga barabarani na misituni mbeya!😅😅 manake huko hawana jinsi ila kuenda tu, sio maandamano lakini ndio(ni protest nevertheless)....kwa wapiga picha-tumieni umahiri wa kupiga picha zitakazo onyesha ugumu wa "Majenerali" sura, ukakamavu wa mwili, au hata wakiwa wana watizama Walalamikaji wakiwa wanaingia Mahakamani n.k halafu mutuletee mrejesho kupitia Lucas Mwashamba(soma maudhui ya mada yake) wa CHADEMA Erythrocyte 😂😂
kama bwana Joni mbatizaji anavyosema...mlale unono
kama bwana Joni mbatizaji anavyosema...mlale unono