Tuache utani, huyu jamaa anatisha ndani ya CCM. Simply unstoppable,,,,
Only Dr Slaa can stop this great CCM man from becoming the next president
pembe zote za mbeleko amezikamata kuanzia wenyeviti wote wa ccm kila angle.........Ukisikia mpaka Sofia SImba anasema huyu ni 'MWNAUME WA SHOKA' lazima ishituke. Aliongea kama utani lakini alibeba ujumbe mzito kuliko maelezo. Pesa aliyomwaga Sofia Simba kwenye UW-CCM inatisha. Aliitoa wapi?
pembe zote za mbeleko amezikamata kuanzia wenyeviti wote wa ccm kila angle.........
Mimi na Kikwete hatukukutana Barabarani................inaonekana ana strong support ya Mkulu....................Jamaa ana mikakati ya muda mrefu sana. Kakamata kila pembe. Sina uhakika kama kuna mwenye ubavu pale kwenye chama chake wa kumzui kuchukua fomu za uraisi ama kukata jina lake.
hakuna aliyeamnini kama Mkapa angekua Rais but yalitimia......siasa nyingi zimejaa propagandaMungu turehemu na warehemu wanafiki woote wanaomuunga mkono Lowassa. Namwogopa huyu jamaa kama mwiba kwa sababu hana maslahi kwa walala hoi bali anachokiwaza ni kujenga mahoteli na ikiwezekana barabara zake binafsi huku walala hoi wakiugulia maumivu.
Mh Edward Lowassa akitoa hotuba kuwakaribisha wageni ktk hafla ya mwaka mpya
View attachment 78096