Maandalizi Kabambe Kuelekea 2015

Maandalizi Kabambe Kuelekea 2015

Tatizo ni unapokuwa mwizi. Sifa ya uchapakazi inaishia hapo, kwani hata watoto tunawaita wezi na mama yao. Ukiacha mambo ya ndani na mkeo mengine tunahitaji ''A'' Flat MEEN.
Mwacheni lowasa apumzike kwa starehe. Ni mchapa kazi. Kila mtu anajua hilo.
 
wa sasa hivi naona kwake huu ni MSAMIATI

Hakuna anaelikubali hilo ingawa wanajuwa kuwa Rais huwa ni mmoja tu.Tumeshawasikia wengi wakilitaka hilo juu ya kuwa walishindwa huko nyuma na wengine mara kadhaa tu.
 
Hakuna anaelikubali hilo ingawa wanajuwa kuwa Rais huwa ni mmoja tu.Tumeshawasikia wengi wakilitaka hilo juu ya kuwa walishindwa huko nyuma na wengine mara kadhaa tu.
kama ambavyo JK hakukubali kushindwa hata huyu hatakubali, anaweza kuingia msituni...........
 
Tuache utani, huyu jamaa anatisha ndani ya CCM. Simply unstoppable,,,,

Only Dr Slaa can stop this great CCM man from becoming the next president

It seems that you're one among of those people who shall be eating their words bcause the guy is unfortunately and unluckly westing his time and mones for sure, I can bet my life on this!
 
dau lake linaeleweka na linakotoka linafahamika pia......chezea mtandao wa nipe nikupe wewe
Ndio maana yake. If you can't beat me join me!
Maumivu ya S.Simba wanayajia akina Halima Mamuya, yule mama mkuu wa wilaya ambaye alikuwa katibu wa UWT na Anne Malecela, hawana hamu naye kabisa.
 
kama ambavyo JK hakukubali kushindwa hata huyu hatakubali, anaweza kuingia msituni...........

...naam listi ni kubwa tu, Mrema, Dovutwi, Maalim Seif, Slaa, tingatinga (malecela) na wengine wengi.
 
it seems that you're one among of those people who shall be eating their words bcause the guy is unfortunately and unluckly westing his time and mones for sure, i can bet my life on this!
....hata mtabiri amethibitisha, unless ajigeuze jinsi yake awe mwanamke
 
mle kwenye kofia mna mambo mle.........shushushu yule
 
Back
Top Bottom