Maana yake nini hapa ma engineer?

Mzunguko huo umepunguza mteremko wa gafla(steep slope) ambapo magari yangeshindwa kupanda au kushuka. Hiyo barabara ya juu imevuka reli ( nazani unajua urefu treni wa kwenda juu) ndani ya mita chache toka kwenye reli barabara hiyo ingetakiwa ishuke kama ulivyoweka alama , hiyo ingesababisha mkunjo down wa gafla ambapo gari zisingepanda au kushuka
Unajua vizuri circular motion mkuu??

Je pakiwa na steep slope alafu uka introduce circular path huoni kama unaongeza mafuta kwenye moto??
 
Mzunguko huo umepunguza mteremko wa gafla(steep slope) ambapo magari yangeshindwa kupanda au kushuka. Hiyo barabara ya juu imevuka reli ( nazani unajua urefu treni wa kwenda juu) ndani ya mita chache toka kwenye reli barabara hiyo ingetakiwa ishuke kama ulivyoweka alama , hiyo ingesababisha mkunjo down wa gafla ambapo gari zisingepanda au kushuka

Hapo Kuna steep slope, ila kutokana na picha ilivyopigwa haionekan, ili kupunguza sudden change of road slope, nafikiri hyo loop ama mzunguko uliitajika

Sent using Jamii Forums mobile app
0216bc2002c9df8b766d3d28ea6d97ea.jpg


Ukirefer hiyo formula huoni kwamba ukiwa na angle kubwa ndio velocity inakua kubwa!!

Tueleweshane wajameni!!
 
Kuna reli hapo ndiyo maana wameikwepa kwa style hiyo. Tena hapo walitumia akili sana baada ya reli njia ikarudi palepale.
 
Kuna reli hapo ndiyo maana wameikwepa kwa style hiyo. Tena hapo walitumia akili sana baada ya reli njia ikarudi palepale.
Hiyo ni overhead... Fly over....!! Maana baranara iko juu na reli chini!!

Bado sijaona point ya kutumia round kama kigezo cha kukwepa reli!! Hata wangetumia straight path wangeikwepa pia!!
 
Hiyo ni overhead... Fly over....!!

Bado sijaona point ya kutumia round kama kigezo cha kukwepa reli!! Hata wangetumia straight path wangeikwepa pia!!

Wangetumia straight path kimo cha barabara kingekua chini sana kwa treni kupita chini mkuu.
 
Msipate shida, kuna wakati Mainjinia akili zao zinapagawa. Hilo ni eneo moja wapo.

Maeneo mengine wanaangusha maghorofa. Siyo mara zote wanakuwa makini na hapo ni ishara ya kukosa umakini wao.
 
Wangetumia straight path kimo cha barabara kingekua chini sana kwa treni kupita chini mkuu.
Sizani mkuu...angalia vizuri...round iko baada ya reli....

Nadhani ungesema wametumia round path kama njia ya kuua steepness atleast ingemake sense maana ukiangalia kushoto mwa picha barabara iko juu alafu huku kulia mwa picha barabara iko chini!!

May be ndio maana wakatumia round purposely ili kuongeza length ya barabara na kuua steepness!!!
 
0216bc2002c9df8b766d3d28ea6d97ea.jpg


Ukirefer hiyo formula huoni kwamba ukiwa na angle kubwa ndio velocity inakua kubwa!!

Tueleweshane wajameni!!
Wee jamaa utakuwa too fresh na umekaririsha kwamba unachokisomea darasani ndio unachoenda kutumia kazini. Field hizo physics formula hatuziangalii sana ,tunadeal na real situation. Situation ya hapo flyover ya kwenye reli na makutano ya T mbele mita chache isingewezekana steep slope ishuke moja kwa moja kwenda kwenye T junction na hizo gari zipo kwenye steep slope na zinatakiwa zisimame kusubiri gari za highway zipite. Kuavoid ajali walifanya hivyo.
 
Hapo kilicho guide kujengwa hivyo ni Height...
Pili ingeenda mojakwamoja ingepeleke kwenda kuishia mbali ambapo ingepelekea kuvunja nyumba nyingi kama unavyoona kule mbele yale magorofa, inawezekana walifanya tadhimini wakaona itakuwa garama sana kulipa hayo majengo. Huo nkunjo ni mahususi kwa ajili ya kupunguza approaching grade...

Iphone 5
 
Wee jamaa utakuwa too fresh na umekaririsha kwamba unachokisomea darasani ndio unachoenda kutumia kazini. Field hizo physics formula hatuziangalii sana ,tunadeal na real situation. Situation ya hapo flyover ya kwenye reli na makutano ya T mbele mita chache isingewezekana steep slope ishuke moja kwa moja kwenda kwenye T junction na hizo gari zipo kwenye steep slope na zinatakiwa zisimame kusubiri gari za highway zipite. Kuavoid ajali walifanya hivyo.
Hizo sentensi tatu za kwanza wahandisi hatuzitumiagi sana maana ni kinyume na taaluma yetu!! Nitaanza kujibu hoja baada ya hizo porojo hapo juu...mistari miwili ya kwanza!!

Unaposema formula hazitumiki unamaanisha nini?? Ushawahi kudesign any structure?? Je ulitumia formula??

To some extents naweza kukubaliana na wewe kama ni site engineer maana unapewa kila kitukimekamilika!!
 
Hapo kilicho guide kujengwa hivyo ni Height...
Pili ingeenda mojakwamoja ingepeleke kwenda kuishia mbali ambapo ingepelekea kuvunja nyumba nyingi kama unavyoona kule mbele yale magorofa, inawezekana walifanya tadhimini wakaona itakuwa garama sana kulipa hayo majengo. Huo nkunjo ni mahususi kwa ajili ya kupunguza approaching grade...

Iphone 5
Jibu murua kabisa!!
 
Sizani mkuu...angalia vizuri...round iko baada ya reli....

Nadhani ungesema wametumia round path kama njia ya kuua steepness atleast ingemake sense maana ukiangalia kushoto mwa picha barabara iko juu alafu huku kulia mwa picha barabara iko chini!!

May be ndio maana wakatumia round purposely ili kuongeza length ya barabara na kuua steepness!!!

Naomba usome post namba 9 huenda ukanièlewa nnachomaanisha mkuu.

Reli ipo kushoto, ni kweli round ipo baada ya reli ili kuishusha barabara usawa wa hiyo ya upande wa kulia.
 
Yani wamejenga alafu wabomoe tena uko serious mkuu??
Namaanisha inayooneka ya zamani iliyo straight right handside, infrastructure zinaendana na plans za 30-50yrs,trust me ungeona the area and infrastructure plan ingejibu, nijuze ilipoitoa hiyo picha ama hiyo barabara ilipo, naamini naweza kuja na kitu critical kidogo
 
029f97388615b68c1ba9befc094766b0.jpg
nimeikuta hii mahali,wasomi wa haya mambo mtujuze kwa taratibu za ujenzi wa ma flyover hiyo round hapo ina maana yoyote au just wasted

Nadhani picha inajieleza vya kutosha.


Nadhani ni namna mojawapo ya kui stabilize barabara kutokana na urefu,
 
029f97388615b68c1ba9befc094766b0.jpg
nimeikuta hii mahali,wasomi wa haya mambo mtujuze kwa taratibu za ujenzi wa ma flyover hiyo round hapo ina maana yoyote au just wasted

Nadhani picha inajieleza vya kutosha.
Cheki reli hapo kushoto
 
Back
Top Bottom