Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,422
- 8,364
Tafadhali naomba wajuzi wa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, wanipe maana za maneno haya ya Kiswahili, ikiambatana na mifano.
1. Utani
2. Mizaha
3. Masihara
1. Utani
2. Mizaha
3. Masihara