Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 368
- 498
Yeye anafanya sanaa kama kazi na sanaa na siasa ni vitu viwili tofautUkitaka kujua maana ya snitch...na mfano wake ni mrisho
MPOTO. MSANII ALIYEJIFANYA KUIKOSOA SERIKALI
KWA KUPITIA SANAA KUMBE NI MNAFIKI MKUBWA
MBELE YA JAMII HII NA NI FISADI MKUBWA ANAYE
KULA NA MAFISADI NADHANI HII NINJAAA NA
KUFANYA SANAA YA UNAFKI "USNITCH"...MZIKI
WAKWELI NI ULE UNAO FANYA KUTOKA
MOYONI...NILISHTUKA TOKA SIKU NYINGI TUU
THATS WHY NILI KATAA NYIMBO ZAKE HAZIFANYWI
KUTOKA MOYONI NI UNAFKI NA SNITCH.
Mungu anawaangalia sana watu wake ..Waendelee tu kupotosha jamii ila ukweli utabaki kuwa ukweli na Namuombea sana kaka Jpm atawanyoosha tu..Huyu ni mnafiki na msaliti kama poleple na wenzake, wanaujua ukweli wanaupindisha kwa ajili ya matumbo yao, lakini Mungu ni mkweli na haki yake itasimama milele.
Mkuu 7meshawahi ona ile nyimbo yake ya bac njoo..Yeye anafanya sanaa kama kazi na sanaa na siasa ni vitu viwili tofaut
Tafakari sana matendo yake utaona na Ucha..wi unahusikahuyo ni Kama Wasanii wa maigizo, anatembea peku huku amebeba Ipad, na kuchat kama kawa .. Hahahahahahah!
pia viatu anaviacha ndani ya gari, akiona watu wengi anatoka pekupeku.huyo ni Kama Wasanii wa maigizo, anatembea peku huku amebeba Ipad, na kuchat kama kawa ..
Halafu huyu mtu anajikomba sana kwa kuitegemea serikali. Huwa simpendi kujifanya anathamini utamaduni kumbe anaona wapi penye upenyo wa kuganga njaa! Kiswahili alisoma wapi? maana anjifanyaga mtaalamu wa kiswahili
Ukitaka kujua maana ya snitch...na mfano wake ni Mrisho Mpoto.
Msanii aliyejifanya kuikosoa serikali kwa kupitia sanaa kumbe ni mnafiki mkubwa mbele ya jamii hii na ni fisadi mkubwa anaye kula na mafisadi nadhani hii ninjaaa na kufanya sanaa ya unafki "usnitch".
Mziki wakweli ni ule unao fanya kutoka Moyoni.
Nilishtuka toka siku nyingi tuu thats why nilikataa nyimbo zake hazifanywi kutoka moyoni ni unafki na snitch.
Mmmh
Ukitaka kujua maana ya snitch...na mfano wake ni Mrisho Mpoto.
Msanii aliyejifanya kuikosoa serikali kwa kupitia sanaa kumbe ni mnafiki mkubwa mbele ya jamii hii na ni fisadi mkubwa anaye kula na mafisadi nadhani hii ninjaaa na kufanya sanaa ya unafki "usnitch".
Mziki wakweli ni ule unao fanya kutoka Moyoni.
Nilishtuka toka siku nyingi tuu thats why nilikataa nyimbo zake hazifanywi kutoka moyoni ni unafki na snitch.
Tatizo unapokuwa umeathirka unaamin kila anaeingia ktk chumba cha kuchukulia dawa za ugonjwa uliokuathiri nae ni mgonjwa.
Ukitaka kujua maana ya snitch...na mfano wake ni Mrisho Mpoto.
Msanii aliyejifanya kuikosoa serikali kwa kupitia sanaa kumbe ni mnafiki mkubwa mbele ya jamii hii na ni fisadi mkubwa anaye kula na mafisadi nadhani hii ninjaaa na kufanya sanaa ya unafki "usnitch".
Mziki wakweli ni ule unao fanya kutoka Moyoni.
Nilishtuka toka siku nyingi tuu thats why nilikataa nyimbo zake hazifanywi kutoka moyoni ni unafki na snitch.
Siku nilipomgindua huyu jamaa kuwa hayuko kama anavyotaka tuamini ni siku alikua anahojiwa star tv.. walimtembelea nyumbani kwake.pia viatu anaviacha ndani ya gari, akiona watu wengi anatoka pekupeku.