MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Maada kuu katika Baraza la Iddi litakalo fanyika Leo Katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni Mapipa zitakua zifuatazo.
1. Msimamo wa Waislamu Juu ya Rasimu ya Katiba iliodharau Maoni ya Waislamu.
2. Msimamo wa Waislamu juu ya Kulawitiwa kwa Masheikh wakiwa Mahabusu katika nchi ya Tanganyika kwa kutuhumiwa tu Ugaidi.
3. Mengineyo.
Hakuna siri, Mambo hadharani, nyote karibuni.
1. Msimamo wa Waislamu Juu ya Rasimu ya Katiba iliodharau Maoni ya Waislamu.
2. Msimamo wa Waislamu juu ya Kulawitiwa kwa Masheikh wakiwa Mahabusu katika nchi ya Tanganyika kwa kutuhumiwa tu Ugaidi.
3. Mengineyo.
Hakuna siri, Mambo hadharani, nyote karibuni.