GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Sidhani kama nyaraka za serikali huwa zinaombwa kwenye ofisi ya bunge,hii ni mihimili miwili ambayo inajitegemea,nadhani kuna kitu ameomba hapo bungeni kinachousiana na bunge!jaribu kufikiri zaidi,punguza ushabiki!!
Zitto haya mambo anayajua, sasa alitaka kumbabaisha tu huyu mama, sasa na yeye amembana sehemu mbaya , hawezi tena kupumua, hapo inabidi amuombe msamaha tu ! Hizi nyaraka hawezi kuzipata hata kwa mtutu