Maamuzi ya spika makinda juu ya Zitto

Zitto ameingia choo cha kike safari hii, nyaraka alizokuwa anazitaka ni siri, haiwezekani mtu km yeye kuzipata, asubiri rungu tu la Bunge !
Mambo ya nyaraka za siri yaliisha miaka ya 80s!...Nyaraka gani za siri?
Upumbafu wa kuza nchi kuwapitia mawaziri wenye malezi mabovu ndiyo nyaraka za siri?
Labda ulimaanisha nyaraka za sehemu za siri!
 
HAWEZI KUMRUHUSU AWASILISHE BUNGENI NDANI ,HUYU MAMA ATAUCHUKUA HUO USHAHIDI NA KUUTIA KAPUNI KAMA ULE WA MUHESHIMIWA WETU WA ArUSHA
 
Kama ni nyaraka kutoka kwenye kikao cha baraza la mawazi, imekula kwake maana huwa wanaapa kabisa kutunza siri za baraza la mawaziri. Hapo kijana ana kazi...
 
Zittto aliomba documents gani kwani! Tumeni taarifa zenye ukamilifu, wengine hatuna access ya kusikiliza bunge wazee
 
Mambo ya nyaraka za siri yaliisha miaka ya 80s!...Nyaraka gani za siri?
Upumbafu wa kuza nchi kuwapitia mawaziri wenye malezi mabovu ndiyo nyaraka za siri?
Labda ulimaanisha nyaraka za sehemu za siri!

Hakuna serikali duniani ambayo inatoa nyaraka za kikao cha baraza la mawaziri hadharani, kama ipo itaje ? hapo ndipo mtamjua safari hii huyu mama , zitto atapigwa BAN ya 60 days kikaoni akalime mawese
 
Kenge mwenye gamba.Yale matrekta pale lugalo yanatekeleza kilimo kwanza.

kwani Zitto alitaka nyaraka za matrekta ? safari hii mama amemshika pabaya kwani alisema wakati hajui madhara yake , alikuwa ameisha vuta bange bana !
 
Sijajua hasa utaratibu wa hii kitu,ila usawa ni mdogo sana now days!
 
Being a neophyte in the political World, Zitto equally needs to spend an ample time in scrutinizing the essentials needed to be an ambitious politician. His unwise tendency of jumping into matters has proved nothing but his little discernment on things of gravity. No wonder his fame starts to see its attrition.
 
zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto zitto
JF na vituko vyake!!
 
Bunge litawezaje kuisimamia na kuihoji serikali kama mwakilishi wa wananchi yaani mbunge ananyimwa kwa makusudi vielelezo vya namna gani serikali inafanya kazi?

Mh. Zitto kama mwakilishi wa wananchi na kama mwenyekiti wa kamati ya kusimamia mashirika ya umma ameleta hoja baada ya kuona utata jinsi serikali ilivyofikia maamuzi. Sasa anataka Serikali itoe vielelezo lakini Speaker kwa mara nyingine anafanya kazi ya serikali kwa kuzuia vielelezo ambavyo vingeweza kuweka bayana ni vipi serikali ilifikia uamuzi wake. Mama Makinda anaweza kueleza umma nini kazi ya bunge? Kuna sababu gani ya kuwa na bunge?
 
Hakuna serikali duniani ambayo inatoa nyaraka za kikao cha baraza la mawaziri hadharani, kama ipo itaje ? hapo ndipo mtamjua safari hii huyu mama , zitto atapigwa BAN ya 60 days kikaoni akalime mawese
Teh teh teh teh! Hiki kibibi kimegutuka, kwa Lema kaliingia cha walevi. Sasa subiri hizo siku alizompa zifike uone mwanaume anayejishughulisha kwa udi na uvumba atakuwa kafanya nini kahajaanguka bungeni. Kwanza kabla hakajatoa ripoti ya zito inabidi wakabane katoe ripoti ya Lema kaone kama nacho hakajaambiwa kaongo halafu nako wakadhibitishie uongo wake.
 
Zitto alisema ma-lobbyist wame li influence, wameliingiza mkenge, baraza la mawaziri. Ma-lobbyist hawaingii katika vikao vya baraza la mawaziri, kwa hiyo communication kati ya baraza la mawaziri na ma-lobbyist sio state secret.

Zitto should have access to the communication btn the cabinet and the lobbyists kwa sababu ilifanyika nje ya vikao vya cabinet kama ambavyo aliweza ku intercept contact hizo na kutupa taarifa kwamba cabinet ilikuwa influenced na lobbyists.

Si jukumu la Anne Makinda kutafuta documents za kumletea Zitto, hata kama zingekuwa sio state secrets. Safari hii spika Makinda hajakosea. Zitto, mpira uko kwako.
 
Hakuna serikali duniani ambayo inatoa nyaraka za kikao cha baraza la mawaziri hadharani, kama ipo itaje ? hapo ndipo mtamjua safari hii huyu mama , zitto atapigwa BAN ya 60 days kikaoni akalime mawese
Sidhani kama nyaraka za serikali huwa zinaombwa kwenye ofisi ya bunge,hii ni mihimili miwili ambayo inajitegemea,nadhani kuna kitu ameomba hapo bungeni kinachousiana na bunge!jaribu kufikiri zaidi,punguza ushabiki!!
 
kwani Zitto alitaka nyaraka za matrekta ? safari hii mama amemshika pabaya kwani alisema wakati hajui madhara yake , alikuwa ameisha vuta bange bana !

Sidhani kama Zito kupigwa ban ni mara ya kwanza lakini angalia lisijewaumbua kama lile la buzwagi lilivyokuja kuwatokea puani. Logic inaonesha wazi kuwa kuna namna maamuzi hayo yalivyofikiwa. Hata kama vielelezo havitatolewa wenye akili wameshapata ujumbe na mda utatueleza kulikoni.
 
Ww na Zitto wako mama safari hii anawavalisha nepi !
Abusive language!nachojua nepi uvalishwa mtoto mdogo au mtu mzima ambaye ni mjonjwa,sasa linapotumika kwa mtu mwenye afya njema,hapo utata ndiyo unapoanzia!!
 
Back
Top Bottom