Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
ZImebaki siku Nne tu Uchaguzi na maamuzi Sahihi ya Kila Mtanzania anayekerwa na UFISADI achague DR.SLAA NA chadema woote KWA UJUMLA haya yatakuwa maamuzi sahihi na utajutia kura yako ila kama unahitaji kubaki na hali hii ya watanzania masikini CHAGUA Sisiemu. Naamu wazi kwa akili yangu timamu kuchagua DR.SLAA awe RAIS wetu kwa miaka MITANO kama alivyosema yeye. NDANI YA SISIEMU wanagombana sana jinsi ya kujiondoa Serikalini.