Maamuzi magumu kwenye Ndoa!

Hio mbona inawezekana,ndo maana hata kuna neno ABSTAIN.
Ndo maana kuna mapadri wanaishi bila kusex.
Ndo maana hata mie nimeabstain naelekea mwaka wa pili sasa.
 
ingekuwa tunafanya majaribio kama haya ktk sekta ya teknolojia wachina wasingetutisha.....hiyo ni sawa na mwanafunzi anayebandua tangazo la madeni ya ada wakati kuna nakala ofisini..............WEWE UNASEMA MDOMONI WAKATI MOYONI THERE IS BIG NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Today, my day is full of surprises! Hadi naogopa what am I gonna hear or see in the next hour!
Mmmppphhheeewwww!
 
Inawezekana hawa shei kitanda.

Nilisikia kuwa ku shea kitanda siyo health. Lol.

Haya mambo ya sijuhi King size bed ni ya Kiafrika zaidi ambako sex ni kama dozi ya panadol.

Si unaona hotel kubwa wanakwambia double bed.




Ukitaka uweze awe tu haogo kwa kipindi choote hiko cha mwaka mmoja
uwe unapanda kitandani huku unaziba pua..
hapo utaweza
 
Nadhani mkuu unachojaribu kufanya ni kama serikali inavyosema UCHUMI WA TZ UNAPAA wakati ukweli unaonekana dhahili hali ni mbaya bila hata elimu ya Chuo Kikuu.
Suala la kuchokana linatoka wapi? Kama ni hivyo nadhani wewe kama ni mkristo ungeambiwa wazi ukimchoka mwenzako mje mfungue ndoa. Kwa swali lako ni kama Padre/Mchungaji anakuuliza unapenda ndoa ya (a)Wake wengi,(b)Mke mmoja?
Halafu wewe ukachagua wake wengi undhani ndoa itafungwa kwa imani za kikristo?Lazima mtafukuzwa
:A S-heart-2::violin:nje,ukipumzika unadhani kuna ndoa hapo,suala si kukaa mwaka mzima bila kufanya inatakiwa wakati mwingine mnapumzika lakini neno TUSICHOKANE mtakuwa mzunguukana tu huku kila mmoja akijifanya mwaminifu kwa mwenzake kwa huo utaratibu mbovu mnaojiwekea wenyewe.Mmeambiwa wazi :A S-rose::A S-rose::A S thumbs_up:msinyimane,ninyi mmekuja na lenu TUSICHOKANE.
 
huwa nikisikia maamuzi magumu hiki hunijia kichwani" kumpeleka baba mwanaisha the hague"tunahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu ,lakini hapa nikinyume maamuzi magumu pia kuacha kula hiyo kitu pia lol kiswahili kigumu hapa
 
Ahsante sana, katika kipindi cha maboresho RUKHSA kuchepuka kwa raha zao kisha July mwakani wanaingia Wembley kwa mchezo mkali sana baada ya hapo wanarudi tena kwenye maboresho.



Nadhani mkuu unachojaribu kufanya ni kama serikali inavyosema UCHUMI WA TZ UNAPAA wakati ukweli unaonekana dhahili hali ni mbaya bila hata elimu ya Chuo Kikuu.
Suala la kuchokana linatoka wapi? Kama ni hivyo nadhani wewe kama ni mkristo ungeambiwa wazi ukimchoka mwenzako mje mfungue ndoa. Kwa swali lako ni kama Padre/Mchungaji anakuuliza unapenda ndoa ya (a)Wake wengi,(b)Mke mmoja?
Halafu wewe ukachagua wake wengi undhani ndoa itafungwa kwa imani za kikristo?Lazima mtafukuzwa
:A S-heart-2::violin:nje,ukipumzika unadhani kuna ndoa hapo,suala si kukaa mwaka mzima bila kufanya inatakiwa wakati mwingine mnapumzika lakini neno TUSICHOKANE mtakuwa mzunguukana tu huku kila mmoja akijifanya mwaminifu kwa mwenzake kwa huo utaratibu mbovu mnaojiwekea wenyewe.Mmeambiwa wazi :A S-rose::A S-rose::A S thumbs_up:msinyimane,ninyi mmekuja na lenu TUSICHOKANE.
 
Naona wote wawili mna hamu ya kutoka nje ya ndoa otherwise mmoja wenu aliyesuggest ilo ana matatizo ya kutokuwa na hamu akaona amshilikishe mwenzie
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Mi na mke wangu tuliamua tusile tunda la hedeni mwaka mzima wala usione vitu vya mwenzako. Kila mtu avumilie mpaka mwaka uiishe. Sasa mwezi umepita nahisi kama miaka 2, uzalendo unanishida. Hii ahadi ngumu sana. Hivi inawezekana kweli kuvumilia mwaka mzima kwa lengo la kuboresha penzi!!.
Kazi kweli kweli. Duniani bado kuna mambo mapya. Kila la heri jamani
 
Sasa bwashee, tukikula kila siku si tutachokana upesi!!, huoni nayo hiyo ni hasara/hatari kwa ndoa!.

we upo kwenye ndoa miaka mingapi? huo uboreshaji gani?watu wanaboresha kwa kuongeza romance, kubadili style na mandhari nyie mnaamua kunyimana au umekuja kutuchekesha humu
 
Wakati sis wengine tumeamua kupiga mechi daily... kasoro zile siku za angani tu basi
 
Mimi namuona kawa creative...wengi hizo njia tunazijua na wangapi wametumia na hazi work???

Hawa walichoamua ni kama separation; na separation ni njia moja wapo ya kuokoa ndoa.


Si kujisifia kuwa tunafanya daily huku mmoja wenu sura kakunja kama anatafuna ndimu.
Lol.

we upo kwenye ndoa miaka mingapi? huo uboreshaji gani?watu wanaboresha kwa kuongeza romance, kubadili style na mandhari nyie mnaamua kunyimana au umekuja kutuchekesha humu
 
Mimi namuona kawa creative...wengi hizo njia tunazijua na wangapi wametumia na hazi work???

Hawa walichoamua ni kama separation; na separation ni njia moja wapo ya kuokoa ndoa.



Si kujisifia kuwa tunafanya daily huku mmoja wenu sura kakunja kama anatafuna ndimu.
Lol.

creative wkt hadi anakuja huku kulalamika ugwadu umezidi. atakuwa kalazimishwa na mechi ya nje ikitokea atapiga tu. kuabstain wiki au mwezi inaeleweka. mwaka duh na mwalala chumba kimoja
 
Nimekusoma vizuri sana lakini sijaona kama uko/mko serious wewe na mkeo.
Tangu lini hamu ya ndoa ikatafutwa kwa kunyimana unyumba?
Vinginevyo labda tafsiri ya ndoa itakuwa imebadilika na sio ninayoijua mie.
 
Kaka yangu mimi sijui mlitokea wapi hadi kujiwekea muda wa mwaka mzima;
Kwa mawazo yangu, kwanza mnatenda dhambi kwa kwenda kinyume na maandiko -ya wenye Ndoa (biblia na Quran)...mimi nafikiri ungeomba ushauri wa namna gani nzuri ya kuishi na mpenzi wako msichokane..Funguka kijana huko mnakoelekea utakaribisha ugonjwa nyumbani (si unajua hiyo kitu haina speed meter/gage??? Utakuta mwenzako anamaliza mwaka wala hana shida; acha kujidanganya kwa kuaminiana..no way!!! utakuja kujutia wakati ni too late!!!

Kuna njia rahisi kama, kulala kitanda tofauti au chumba tofauti kama nyumba ina nafasi kwa muda au kuacha kushiriki hilo tendo kwa interval mf. wiki mara moja nk ILA Cha msingi zaidi ni kuwa mbunifu na sio kuishi kwa mazoea
" You can learn to leave with nature BUT you can not learn to leave agaist nature"
Kama mnapendana kiukweli, mwenzako akiumwa au akisafiri wala hiyo ham ya kufanya haitakuwepo!!!
 
hebu anza mpango mpya wa kutoa dozi kila siku non-stop kwa mwaka mzimz ikiwezekana ujue hata hiyo ya kukwepa inawezekana pia
 
Mmoja wenu ataamua kwenda pembeni huku akilazimisha mwingine avumilie hadi mwaka upite,shetani atasimama katikati ndoa at stake!!
 
Jitahidi kutimiza ahadi yako ila ukiona unashindwa mjulishe mwenzio mjipange upya kwa kuwa sasa unajua changamoto za zoezi lenyewe.
 
We endelea tu na hayo maamuzi magumu, maajabu yatakua ni pale mtakapofikisha miezi sita na ukagundua mkeo ana mimba ya miezi mitatu!
 
Back
Top Bottom