Tatizo liko hapo, inawezekana wala si mumeo saana.
Kubakwa kwa mwanamke sio kitu kidogo. Mipini hii tunaipenda sana, ila likifosiwa uwiii, ni aheri kuliwa na simba. Usidhani ni kitu kidogo kabisa hicho, ungeweza pata msaada wa kisaikolojia ungepata ahueni.
Hata kwa mzee kama mie, bado naogopa dhahama kama hii, seuse at 15? Labda ulikuwa bado na ka bikra kako, unakapenda na kukatunza, then mtu akakupoka just like that. Kwangu, wewe ni kashujaa kuliko unavyojichukulia, wengine wanaobakwa wanajiua, lakini wewe umeweza kuendelea na maisha hadi kuwa na courage ya kufunga ndoa.
Talk abiut it, mara nyiingi sana ila na mtu unayemwamini hadi uone ni kawaida, ni sehemu ya therapy.
Inawezekana hata kusema hapa leo kukakupunguazia mzigo kwa asilimia kubwa.
Hatuna huduma za ushauri saana wa kisaikolojia, nafasi hii imechukuliwa na dini zetu. Kama huko unakoamini unaweza kupata huduma hii, nenda kaitafute, ni kwa ajili yako na amani ya moyo wako.
Ila mwisho wa siku, kumshirikisha mumeo ni jambo la muhimu, asipokusaidia basi, umefanya sehemu yako. Huwezi jua, inaweza kuwa suluhu.
Hapa duniani, furaha yako inaanzia kwako, usimtegemee mtu mwingine akupe furaha, bali akamilishe pale panapopungua. Sasa basi, kufurahia mchakato wa uumbaji, anza kwa kujiponya kovu lako la kubakwa.
Unaweza simulia ilikuwaje ulipobakwa? (sio lazima lakini)
my dear sijawahi kutafuta faraja yoyote ,tangu nimebakwa huwa nahisi bado naendelea kubakwa sijui kwa nini