palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,462
Tena apo washukur nmewasev zaman nlikua sisevu inakua namba tupu...asa kipi bora kuseviwa au kutoseviwa na hao nmewasev ivo coz nawaheshim sana
mie sikuwezi kabisa. Lakini huwa unajisikiaje kusave majina ya ajabu hivyo?