Maalumu kwa wachepukaji

Maalumu kwa wachepukaji

Thanx nimemtumia ujumbe hivyo2 now nasubiri atasemaje.
Mkuu sasa kama ni mchepuko si ndiyo maana yake ili asishtukiwe? Daah! Mwizi wa mali za watu halafu unataka uwekwe jina lako?

Unajuwa mwanzoni nilidhani wewe ndo ke, maana cjakuelewa.Ni yeye anayechepuka, wewe, ama wote?

Ebu sema wewe, ulitaka aweke jina gani ambalo halitashtukiwa endapo ni yeye amechepuka?

Kama ni wewe ndo mchepukaji, basi chunguza sana, pengine ni wote mnachepuka!
 
unachomfanyia mwenzio amefananisha kama unazibua choo. Ameona unamzibua vizuri ndio maana akakupa jina la hilo.

ha ha haaaa unamaanisha ameseviwa sawasaw na anachomfanyia kwa bed
 
Me mura original but kimjinimjini siwezi siwezi kufanya yale ya kwetu nimempotezea.
 
Fundi?
Then mzibua vyoo?

Akamalizia no. 2?

Dah! Bora angesev tu fundi!

Btw, total cost ya ku-handle mchepuko inaweza inua chumba na sebule kabisa!

Remember your mom in all days of your life...
 
Not that name,kila day ya kazi najitahidi kumpitia na kimkweche changu nampeleka job huku namwachia hela ya lunch na jioni naulizwa bby uko wapi nna hamu na bia kama kawaida leo naitwa FUNDI MZIBUA VYOO 2!! hatari.

Alaf nshatambua kaa ukijua kulikuwa na "FUNDI MZIBUA VYOO 1"
 
Back
Top Bottom