Hoodla
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 284
- 98
niombee tu,hata na upako unipe
Mkuu cna upako
niombee tu,hata na upako unipe
Tarime one, eti nini??? Fundi mzibua vyoo 2, ina maana kuna mzibua vyoo 1. Hahahaaaaa
Itakuwa huwa mnamzibua choo huyu. Acha tabia hiyo.
sina tabia hiyo hata kutamani sijawahi,eti ananipigia cm bby niko mlimani nipitie nashindwa hata nimjibu nini.
Sina tabia hiyo hata kutamani sijawahi,eti ananipigia cm bby niko mlimani nipitie nashindwa hata nimjibu nini.
Wewe mkurya kuzibua vyoo wanawake mmeanza lini.
Just nashangaa hata nimeshindwa nimfanyeje huyu mdada coz nilikua namheshimu sanaaa.
wewe mwambie nimepata tenda ya ghafla kwenda kuzibua vyoo sehemu. Inatosha kabisa hiyo halafu atajiju
Just nashangaa hata nimeshindwa nimfanyeje huyu mdada coz nilikua namheshimu sanaaa.
Mbona unajiumiza na nimchepuko tu mchane live au mpe date alafu uombe kumzibua choo kama alivyo kusev
pemgine kaseviwa...."shoga kidawa"
Kama kansevu vibaya atajijua coz me nmewasevu
1.phone no
2.mobile no
Thanx nimemtumia ujumbe hivyo2 now nasubiri atasemaje.