Muda mfupi uliopita, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka vituoni.
Amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein, na kuitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo halisi kama yalivyo kwenye fomu zinazotoka vituoni.
Chanzo: DW
Naskia pumbavu na lofa ameshatua zenji kwenda kuweka mambo sawa!
Mkuu siamini kama kweli CCM wamekubali kulitamka hilo neno leo!
Mbowe yuko wapi atuwekee zetu, hapa hakuna kuzidiana akili.
yaani Seif nibumbra huo ndio ubeti wake kila anapishindwa huko znz. lakini sasa watu wamekomaa nafujo haiwezi kutokea
yaani Seif nibumbra huo ndio ubeti wake kila anapishindwa huko znz. lakini sasa watu wamekomaa nafujo haiwezi kutokea
Ameshinda ila shein hataki kusign papers source ni wazanzibar wenyw!! Kuwah kujitangaza ni strategy ya kulinda ushindi na haki yake. Ingekua kadanganya ZEC wangeshatoa tamko mapemaaaaaa
Juha alie kuzaa
Eeewaa.
Hakuna haja kabisa.
Ni upotevu wa rasilimali tu.
Hatuna chaguzi zilizo huru sisi.
Huwezi ukawa na chombo cha kusimamia na kuendesha chaguzi ambacho kinaundwa na mwenyekiti wa moja ya vyama vinavyoshiriki hizo chaguzi.
Huo ni umajununi.
"Mm na familia yangu tumeamua kwenda Saudi Arabia nyinyi wananchi huku kataeni matokeo hasaaaa, Sawa Sawa? " Majuha yanaitikia... "Sawa Sawa"
Bado zamu ya makufuli huku!!! nae apigwe chini ili tujue kipindi cha ccm kimeisha!!!
Ameshinda ila shein hataki kusign papers source ni wazanzibar wenyw!! Kuwah kujitangaza ni strategy ya kulinda ushindi na haki yake. Ingekua kadanganya ZEC wangeshatoa tamko mapemaaaaaa
Matokeo ngome za cuf unguja yamebanwa hadi muda huu.Unajua mimi nilivyomsikia maalim seif anatangaza ushindi mchana nikajua ni zile ngonjera zake za kawaida. Ila baada ya kuona ZEC wamekaa kimya mda wote huu bila kukanusha..naanza kuona kama kuna ukweli hapa.
Matokeo ngome za cuf unguja yamebanwa hadi muda huu.
Hii ndio nafasi ya mwisho kwa Ukawa.
Its now or never.
Ninavyoona hiyo tume huru hatutapata CCM wakishinda.