Maalim Seif mwongo sana


Siku Zote Wajinga Ndiyo Waliwao!
 
Kumbe hata lipumba anayo maamuzi magumu
Sio tu lowassa
 
Sasa UONGO wa Maalim Seif ni nini kama Mwenyekiti wake hakumwambia kitu wako poa then baada ya cku mbili akajiuzulu. Seif afanye nn. Rushwa ni mbaya unajua pesa alizopewa Lipumba ni ndefu. C pesa Ndogo mpaka linakuwa saliti wenzake
 

unajichanganya mno.

JARIBU KUTULIA MKUU.
 
Huyu jamaa anahitaji kupumzika miaka 16 mkt kwabi cuf ni familia yake
 

Wewe ni mpumbavu zaidi ya upumbavu. Slaa ndiye aliwajaza wabunge wa Chadema bungeni kufikia karibu themanini na wakati wa Mbowe alipogombea urais alipata wabunge chini ya kumi,halafu unasema Slaa na Pr. Lipumba hana uwezo? Pumbavu kabisa.
 
Huyu jamaa anahitaji kupumzika miaka 16 mkt kwabi cuf ni familia yake
 
Sasa UONGO wa Maalim Seif ni nini kama Mwenyekiti wake hakumwambia kitu wako poa then baada ya cku mbili akajiuzulu. Seif afanye nn. Rushwa ni mbaya unajua pesa alizopewa Lipumba ni ndefu. C pesa Ndogo mpaka linakuwa saliti wenzake

Barua aliiwasilisha tarehe 1 August.
 
tumeoneshwa rangi zao halisi mapema sana.

Nadhani ni muda wa kutulia kwanza na kujipanga, kipo chama kitakuja kikiwa na wakombozi wa kweli na wenye nia ya mageuzi na sio mkwanja
 
Sana aiseee yaani mm nimewatoa nje ya mstariiii..CCM oyeee

Ukishabikia Tu CCM Lazima Utakuwa Na AKILI SAHIHI, TIMILIFU, NZURI Na UNAJIELEWA. Sijaipenda au Siipendi CCM Bure Hakika Ni Chama KINACHOHITAJIKA Na Watanzania Kwa USTAWI Wa MAENDELEO Yao. Anayeichukia CCM Itabidi AKACHUNGUZWE UBONGO Wake Kwa UMAKINI MKUBWA. Kwangu Mimi CCM Ni Baba Na Mama Yangu.
 
Ila namshangaa sana prof.je leo ndo anajua kuwa waliungana kwa ajil ya katiba na s kugombea uongoz, je mgao wa majimbo j
 
WanaCUF wamesema wanajua anatumiwa!HV muda wote alikuwa wapi?Mbona alimkaribisha lowasa,Leo atatuaminisha VP kama hajapewa mlungula?Amejidhalilisha sana,hata wazee ameshindwa kuwasikiliza,pesa so mchezo!Imenunua utu wa Lipumba!
 
Lipumba ndo alikuwa mstari wa mbele kumsafisha Lowassa .... Baada ya kumegewa za ESCROW leo amegeuka 100% ... Aende zake .... CCM must go ....

 
Ulitaka aseme kuna tatizo wakati yeye hakuona kama kuna tatizo?. Alisema hajapewa barua ya kuniuzuru na alikuwa nae hadi usku saa nne.
 
GAZETI ilo ndio neno nalikubali na ndio misimamo yetu wapenda mageuzi.
 
Huu ni mtazamo wako mkuu! Kawaida sana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…