LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Wasomi wote hufikiria nje ya boksi. Ukiangalia ile picha ya kmupokea huyu FISADI, Prof. Baregu alikuwa ameangalia chini, Dr. Slaa alikuwa anaangalia kwa kushangaa kilichokuwa kinatokea. Leo Prof. Lipumba ameamua kubwaga manyanga! Yaani hawa wasomi wakubwa TZ tuwatilie mashaka au hao vilaza wa CDM waliokimbia shule? Huwezi kunishawishi katika hili. Kuna kitu cha ajabu kinaendelea CDM na wala siyo uzalendo wala Mama Tanzania.Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
bakisha na maneno ya kesho, wenzako wako tuko kwenye funga kumuombea mzee wetu dr slaa afanye maamuzi sahihi wewe unaleta kejeliprof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana
Heri hata lowasa amekuja na nguvu na wafuasi wengi,imagine mgombea awe Slaa u lipumba yaani moja akisimamishwa mengine anajitoa,UKAWA ingekufa,sasa hivi hata wakiondoka lowasa kaziba kila pengo
Uzuri siku hizi teknolojia imekua sana na utunzaji wa kumbukumbu za kimaandiashi,sauti na picha umekua mkubwa tu,sasa angalia hizo picha utagundua nani mnafiki kati ya Seif na Ibrahim.
Angalia Picha hapo juu, utajua Mnafiki nani? Tumia akili, kwani kuwawanachama wa ccm, hata akili nayo inaondoka? eheee kazi kweli kweliKaa sikiliza speech ya lipumba utagundua alikuwa anaburuzwa...mwenzenu kachoka na amesema nafsi inamsutaaa....alifanya kosa na kaona anamkosea mungu wake na watanzania ndio maana katubu
Vikao vya kumpitisha LOWASA kuwa mgombea urais ndivyo vimemchefua Profesa...kingine mwenzio katubu na kujutia maamuzi yake...kama ilivyo kwa DKT.SLAA
Sahihi kabisa Lipumba ameona kabisa kilichofanyika kumpokea yule fisadi ni sawa na zina hivyo kajinasua kwenye balaa hili.Vikao vya kumpitisha LOWASA kuwa mgombea urais ndivyo vimemchefua Profesa...kingine mwenzio katubu na kujutia maamuzi yake...kama ilivyo kwa DKT.SLAA
Yaani ww ni mpuuzi kweli., Maalim alipanda juzi kwenye jukwaa na kusema alichokuwa anakifahamu mpaka dakika ya mwisho alipokuwa na Prof. Lipumba, habari rasmi ya Prof Lipumba kujiuzulu ni leo baada ya yeye mwenyewe kwenda kwenye media na kutangaza.
Sasa kuna uhusiano gani baina ya juzi Maalim Seif alivyosema anachokijuwa kwa mara ya mwisho kwa Lipumba na kilichotokea leo ambacho hakuna binaadamu yeyote mwenye upeyo wa kujuwa kitakachotokea keshokutwa???
mwongo ni babako ambaye amekudanganya kukuzaa na mamako kumbe mamayak ni mwengine.
Leo mmeanza kuongea ubwabwa na maneno ya shombo ndoooorobo nyie ngoja mtaona pengo lake tu.hana impact kwenye UKAWA let him rest in peace!!
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
Leo mmeanza kuongea ubwabwa na maneno ya shombo ndoooorobo nyie ngoja mtaona pengo lake tu.
Matusi hayasaidii zaidi ya kujishushia heshima yakooo......kwa inawezekana huwezi read fellings za mtu akiwa anazingumza alikuwa anadanganya wazwaz...we endelea kutukana
MaCCM bhana. Mtaja.mba sana mwaka huu.Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
Kwa sasa UKAWA ndio uongozi mbaya zaidi na unatafunwa na rushwa na hii ni ishara tosha toka Kwa mungu mapema kabisa tumefunuliwa kuwa hawa jamaa hawana msimamo kabisa
Leo ndo mnaona kama wasaliti! siku zote mliwaona mashujaa. Binadamu wabaya jamani! Myuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.
prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.
wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima