MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Mgombea aliyewahi kushindwa na CCM hiyohiyo mara tano, Leo amekuwa fundi wa kuwapa Mbinu wengine kushughurika na CCM hiyohiyo.
Hivi, mpaka muda huu, bado kunamjinga anaamini CCM itashindwa mwaka huu, Walishindwa kuing'oa 2015 wakiwa na ukawa wenye Vyama zaidi ya vinne na wanasiasa wakongwe na maarufu na wenye uzoefu wa kisiasa mara tatu zaidi yao, waje kuweza leo?
Ujinga kwelikweli!!