Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,450
Maalim kaanza 2015 kulalamika kuporwa ushindi?Tatizo hujui kilichopo. Watu wa deep state wanaelewa kila kitu. Kwanza fungua fumbo LA mzimu wa 2015 Kule Zanzibar na kilichojiri. Hivi unaamini Maalim ashiriki tens uchaguzi kwa mazingira Yale Yale? Jiulize kunani? Think big. Kichwa unaambiwa kinatoka ACT.
Lissu nenda kwa Maalim ukachukue mbinu, nenda.
2016 alitwambia atakabidhiwa nchi yake baada ya miezi 3,vipi alikabidhiwa?