zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Zomba,
..ungesoma post yangu sidhani kama ungetoa majibu hayo.
..yaani ZNZ wasajili meli mitumba au mbovu halafu wategemee zitakaguliwa na bandari za mataifa mengine!!
..again, kanuni ya IMO uliyoinukuu ilimaliza kwa maneno haya hapa chini. zingatia hapo kwenye RED.
This ensures that as many ships as possible are inspected but at the same time prevents ships being delayed by unnecessary inspections. The primary responsibility for ships' standards rests with the flag State - but port State control provides a "safety net" to catch substandard ships.
Soma kanuni za IMO utanielewa. Nimeweka link huko juu, meli za mitumba hata hapa zinasajiliwa si Zanzibar tu. Meli zinazopata maafa si za mitumba tu hata TITANIC ilipata maafa safari yake ya kwanza kabisa na ilitangazwa kuwa "unsinkable".
Hapa tunaongelea procedures za IMO na Tanzania ni mwanachama, jee walifata kanuni za IMO? Mwakyembe ajibu hilo au wewe mjibie kama unaweza. Ukweli ni ukweli hata uwe mchungu vipi.
Hiyo uliyowekea nyekundu inaongelea "standard" soma vizuri, niliyokuwekea blue inaongelea safety, upo hapo ulipo, au tofauti ya maana ya "standard" na "safety" zinakupa shida tukupe darsa?