Maajabu yatokea Tanzania

Maajabu yatokea Tanzania

Huyu ndo raisi tuliyekuwa tunamtaka, Tuzidi kumwombea maana ametangaza vita
 
Nchi Hii yawezwa kuongozwa bila mawaziri wala manaibu waziri. Makatibu wa wizara wanatosha
 
Huyu ndiye anastahili Uprofesori wa heshima, siyo wale wengine wanapewa ati kwakuwa wamewaneemesha wageni, binafsi naona Dr. Wine apewe heshima yake haraka mapemaaaa!!!

Wananchi wake walishampa heshima zote!
 
Zimebaki siku chache watanzania watakuwa wanatoa machozi ya furaha wanaposikia jina la JPM likitajwa. Jamaa huyu noma sana na kawa mjanja zaidi kwa kuunda Baraza dogo la mawaziri ambalo atakuwa akiliangalia kwa umakini zaidi na kuhakikisha kila waziri anawajibika ipasavyo.
GOD BLESS YOU MR PRESIDENT, MAY HE GRANT YOU HEALH, POWER AND WISDOM TO LEAD THIS BEAUTIFUL COUNTRY OF OURS.
 
1. JPM ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2. Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu watu
3. Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora Muhimbili
4. Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahihi
5. Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawaziri hali itakuwaje!!!

Akitangaza mawaziri watamharibia
 
Ana kazi kubwa sana kuteua baraza la mawaziri. Maana hao wabunge wa ccm ni MIZIGO mitupu. Mungu azid kumpa hekima, nguvu na afya tele.

Woote walishinda kura za maoni ndani ya chama kimizengwe mizengwe. Woote wameoza hakuna mwenye haki.
 
Yule masamaki inabidi JPM amuweke ktk jumba la makumbusho akishamshikisha adabu
 
Imefikia wakati mtu akitimiza wajibu inakuwa ni maajabu, kweli tulikuwa na hali mbaya
 
Mkuu uko sahihi kabisa ila, kumbukua huo ni mwanzo tu kwani wagojwa tanzania hii hawako mhimbili tu.,, hospitali nyingi za wilaya wagonjwa wanalala chini na kukosa dawa. Hivyo tumuombee hii kazi iliyoinza iwe ni kama gia namba moja, hivyo aongeze gia zaidi ili tufike pale watanzania wanapopataka.
Shida ni kuwa Wakuu wa mikoa na Wilaya(japo coni umaana wao kuwepo) wanashindwa kujua kuwa Magufuli alionesha mfano Muhimbili ili maRC wafanye hospitali za mikoa na maDC wafanye kwenye za wilaya. Tukimsubiri Magufuli aende mikoani hadi wilayani basi basi hao viongozi huko wajiondoe wenyewe.
Ipo haja ya kuwapa somo la Magufulism maRC, maDC na Wakurugenzi wote ili wamagufulike ipasavyo ktk utendaji kazi wao.
 
Back
Top Bottom