Maajabu yatokea Tanzania

Maajabu yatokea Tanzania

January makamba waziri wa fedha.
Hizi ni habari nyeti kutoka magogoni

Hilo ni kosa. Kwa ile michoro michoro yake .. ame prove utoto. Ampige Benchi. Kwa huruma sana unsibu waziri ..Michezo na Uchoraji. That is what he deserves period.
 
Ni Rais wa kwanza kumchana mtangulizi wake kuwa alikuwa
anasafiri kwenda nje ya nchi kuliko kwenda kijijini kwao
kusalmia wazazi wake.
 
Ni rais wa kwanza aliyeshindwa kuwasaidia na kuwapa mshahara unaotakiwa ingawa naye ni mwalimu.
 
Ni rais wa kwanza aliyeshindwa kuwasaidia na kuwapandishia mishahara ingawa naye ni mwalimu.
 
1. JPM ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2. Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu watu
3. Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora Muhimbili
4. Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahihi
5. Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawaziri hali itakuwaje!!!
Kayafanya haya ndani ya siku 23 a.k.a wiki 3 na siku 2 je akimaliza siku 100 itakuwaje?????
 
ahahaha..ayse huyu jamaa kiboko..tumuongezee miaka, na dua zetu kwa pamoja
 
Viva my president kila kitu kinawezekana. Najua utateua baraza lako very soon fanya hivyo bila woga ila baki na rungu lako kwa yeyote atakaekiuka piga chini
 
Na bila kusahau ni Raisi aliyetudanganya mchana kweupe kwakutuambia Marehemu Saddam Husein alikuwa ni Raisi wa Kuwait!
 
hakika mtu huyu ni mtu wa Mungu saa na wakati wa ukombozi kwa watanzania ufika sasa tufanye kazi kwa pamoja na kumpa ushirikiano mwisho wa siku nchi itakuwa safiii

Ni kweli kazi yake tunaiona na tumeipenda sana kwa vile imewafanya maccm waufyate utadhani hatoki kwenye chama chao. Na ndio maana mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote wa juu aliye mpongeza kwa kazi nzuri wamepiga kimya tuu.
Ila hilo la kusema "Ni mtu wa Mungu" litapata maana kama naye atakuwa wazi na kueleza mali alizonazo ili kujua kama naye alizipata kwa jasho halali? Pia atoe ufafanuzi wa ile Hotel ya Kebby ambayo imezungumzwa sana kuwa ni yake.
Aeleze ili kuondoa kiwingu cha habari hizo, maana isije kuwa ilikuwa ni kumchafua. Na kwa kawaida Ukweli humuweka huru Mwanadamu.
 
Mi ningependa hata mawaziri wasiwepo tubaki na makatibu wakuu tu
 
msharaha ataongeza tu msiogope walimu ngoja kwanza majibu yaendelee kutumbuliwa
 
Sikumpigia kura kwa SBB ya chama chake ila utendaji nilimkubali
 
Mzimu wa Nyerere unafanyakazi mbele yake.
 
Back
Top Bottom