Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,144
ndo nilivyosema?
Nimeuliza tu mbona unajaa na kupanic
ndo nilivyosema?
ni kutokana na kitendo.. tendo la kukimbia simba ni la kishujaaa.... ila tendo la kufumaniwa ni la aibu
unamkimbia simba na nguo zako, utakimbia gesti na k.ende zinaninginia, usije ukawapa watu ugonjwa wa moyo barabaraniKwa wale waliosoma somo la Biology mtakumbuka ile topic ya coordination na kile kisa cha mtu kuona simba, ukiona simba mwili unapata nguvu ya ajabu kupambana na Simba, ama utapata nguvu ya kukimbia ama ya kupambana naye, hii ni kutokana na mwili wenyewe, wachache sana wanazimia.
Cha kushangaza ni katika tukio la uzinzi, ukifumaniwa nguvu huwa zinaisha kabisa kiasi kwamba unaweza ukapigwa na ama kufanyiwa mambo ya ajabu na ka mtu kadogo tu kasikokuwa na nguvu,
Cha kujiuliza kwa nini mwili hapa huwa haupati nguvu za kupambana maana hatari ya kufumaniwa huwa ni sawa kabisa na ile ya kukutana na Simba.
Kwa mtizamo wangu haya ni masuala ya Mungu kutaka kuwaazibu wazinzi.
Pamoja na kuwa ni kitendo cha aibu lakini ni njia mojawapo kwa mwanaume kuonyesha urijali
vipi yameshakukuta nini?