Maajabu ya Tanzania

Maajabu ya Tanzania

Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???



Nigeria ina Makabila 60

Tanzania ina Makabila zaidi ya 180


Nigeria ina Lugha 4 za Taifa Kiingereza;Pg English; Hausa; Yoruba

Tanzania ina Lugha 2 za Taifa Kiingereza na Kiswahili

Nigeria kuna MATABAKA kati KIDINI na Wanauana Mpaka leo

Tanzania Tunayo lakini hatuuani

Kuwa na IDADI KUBWA ya Wananchi ni Tatizo kwa Taifa --- Angalia Nigeria wana GAS & OIL lakini wameshindwa kugawana sababu ya utitiri wao

Angalia jinsi itakavyokuwa rahisi kuwatosheleza idadi ya Watanzania

*** kwahiyo sijui Unasomea nini wanaokuambia IDADI KUBWA ya POPULATION ndio MAENDELEO YA NCHI...



c.c Joshua Haji
 
Nigeria mbali sana kufananishwa nao mfano wa karibu kenya hawatupati kwa ukubwa wa eneo,idadi ya watu wala rasilimali na hata kwa amani lakini ona walivyotuacha
 
Nigeria mbali sana kufananishwa nao mfano wa karibu kenya ;hawatupati kwa ukubwa wa eneo,idadi ya watu wala rasilimali na hata kwa amani lakini ona walivyotuacha
 
Japan kakisiwa kale kana watu zaidi ya 150mil eneo lake arand 335,000 sq kms
Sisi nadhan uchache wetu ndio furaha kwao kutawala kirahisi haiwezekani nyie mna nchi kubwa hivi mshindwe kuijaza kaka....and yes population is a factor ya nguvu na maendeleo naamini hivyo..kubalini tu mjaziwe wachina umu ndani kama hamuelew kinachoendelea vile
 
Mara nyingi watu humu huwa wanakunanga lkn mm huwa nakusikiliza kwa makini sana... hoja yako ina mashiko

Wengi hawapendi ukweli wamezowea kudanganywa na kudanganya.
 



Nigeria ina Makabila 60

Tanzania ina Makabila zaidi ya 180


Nigeria ina Lugha 4 za Taifa Kiingereza;Pg English; Hausa; Yoruba

Tanzania ina Lugha 2 za Taifa Kiingereza na Kiswahili

Nigeria kuna MATABAKA kati KIDINI na Wanauana Mpaka leo

Tanzania Tunayo lakini hatuuani

Kuwa na IDADI KUBWA ya Wananchi ni Tatizo kwa Taifa --- Angalia Nigeria wana GAS & OIL lakini wameshindwa kugawana sababu ya utitiri wao

Angalia jinsi itakavyokuwa rahisi kuwatosheleza idadi ya Watanzania

*** kwahiyo sijui Unasomea nini wanaokuambia IDADI KUBWA ya POPULATION ndio MAENDELEO YA NCHI...



c.c Joshua Haji

Huo ni uongo wa dhahir shahir.

Nigeria kuna makabila 371
Source: Tribes in Nigeria - Onlinenigeria.com

Tanzania kuna makabila 158 hayo ni pamoja na makabila yenye asili za Asia waliopo Tanzania.

Source: Tanzania Tribes

Sasa sijui uongo unakusaidia nini?
 
Sijui jamani ...tumekosea wapi maana mambo hayatokei mbona wazalendo wengi?wasomi wengi?viongozi wa dini?hayupo ata mmoja!!atutoe huku
 
Wewe wa wapi?
KUSOMA HUJUI LAKINI KUONA UONI...Mf mfupi
Bunge na mambo yanayofanyika Bungeni NI KUMZA KICHWA WATANZNIA

La maana na muhimu Amani kitu ambacho wengine hawana
 
Labda nchi zote duniani zilale usingizi kama miaka 200 ivi wakiamka ndo tutakua tunawaribia kwa maendeleo
 
nijuwavyo tanzania ni ndogo kwa nigeria!!!!!!.....
 
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???

watu wa nigeria awazidi million 200!!!
 
Nyerere, ndiye aliyekosea, uchumi alikuwa nao lakini aliukalia, alishindwa kabisa kabisa katika mambo ya uchumi kwa miaka yote aliyoongoza hii nchi, zaidi ya 24. Aliiwacha nchi ni maskini wa mwisho duniani.

Alipong'atuka life expectancy ya Mtanzania ilikuwa hata miaka 40 haifiki. Jinsi alivyoshindwa katika huduma za afya.

Baadaya Marehemu baba wa Taifa (R.I.P) kuukalia huo uchumi kama uonavyo hii ikimaanisha madini na Rasilimali zingine hazikutumika je hawa walioingia sasa ambao wanazitumia rasilimali hizo na hadi sasa kuna baadhi ya migodi imeishafungwa huku wahusika walikuwa bado wapo katika kipindi cha mpito na walikuwa hawajaanza kulipa kodi mfano mgodi wa LUSU kule Nzega je kuna manufaa yeyote makubwa yaliyopatikana kuliko hasara?
 
Uwajibikaji, uwajibikaji, Uwajibikaji!

Hatuwezi kuwa na nchi yenye mali zisizo na mwenyewe na bado tukaendelea, mpaka tutakapokubali uwajibikaji uwe sehemu ya maisha yetu ndio tutayaona maendeleo wenzetu wanayoyaona.

Hivi kuna kitu tumejifunza katika uchaguzi wa Malawi?, pamoja na kasoro zilizokuwa wazi kabisa kila mhimili wa dola umeonyesha mipaka ya nguvu zake na hii inaitwa uwajibikaji. Hebu fikiria ingekuwa hapa kwetu ingekuwaje, rais aliye madarakani anadhulumiwa na bado anasubiri muhimili wa sheria utoe uamuzi.

Kwetu mpaka leo wanaiba fedha za uma hawaonekani na vyombo vya dola mpaka wapinzani waseme, yale ambayo hawapati bahati ya kuyajua inakuwaje?

Uwajibikaji, uwajibikaji na tena uwajibikaji......
 
Nyerere, ndiye aliyekosea, uchumi alikuwa nao lakini aliukalia, alishindwa kabisa kabisa katika mambo ya uchumi kwa miaka yote aliyoongoza hii nchi, zaidi ya 24. Aliiwacha nchi ni maskini wa mwisho duniani.

Alipong'atuka life expectancy ya Mtanzania ilikuwa hata miaka 40 haifiki. Jinsi alivyoshindwa katika huduma za afya.

Nasikia eti wakatoliki wanataka kumpa utakatifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom