Maajabu ya Tanzania

Maajabu ya Tanzania

Kuna mambo mengi uliyoandika sikubaliani na wewe.

Mwaka 1975 kweli uchumi wa Tanzania ulikuwa mzuri, kwa mwaka ule kutokana na bei ya kahawa kupanda sana baada ya kahawa ya Brazil kuungua kwa baridi 1974. Mwaka 1973 na 1974 uchumi wa Tanzania haukuwa mzuri kabia kutokana na kupanda sana kwa mafuta- Petroleum.

Hata kabla ya vita vya Amini mambo hayakuwa shwari sana. Vitu madukani mara nyingi vilikuwa vinakosekana hasa hasa, unga, mchele, mafuta ya kupikia, sabuni, n.k.

Nyerere aliondoka madarakani akiiacha Tanzania ikiwa hoi kwelikweli kiuchumi. Benki Kuu walikuwa hawana hata dollar millioni moja!

Alipoingia Mwinyi alikuta mambo mazito. Mwanzoni tu nchi nzima ilikuwa haina kabisa mafuta (hiki kilikuwa ni kitu cha kawaida wakati wa JKN). Ilibidi kusaini mkataba na Waarabu kubadilishani kahawa na mafuta. Mwinyi alijaribu kufungua uchumi wa Tanzania lakini walionufaika walikuwa ni wachache sana na kodi hazikulipwa. Tanzania ilibanwa sana na World Bank, IMF, na nchi wafadhili hasa kutokana na deni kubwa lililokuwa linaisonga Tanzania.

Mkapa alipoingia alijitahidi kulipa madeni kusudi angalau nchi ikopesheke. Ukata (Ukapa) uliumiza wengi lakini baada ya hapo madeni yalisamehewa madeni mengi. Migodi mingi ilifunguliwa na mashirika mengi yaliuzwa. Kwenye migodi kwa kweli Watanzania hawakunufaika sana lakini vile vile hili lilitokana na shinikizo la World Bank na IMF waliotaka Tanzania ifuate model ya nchi kama Chile. Uuzaji wa mashirika ulikuwa na matatizo yake lakini binafsi nakubaliana naye 100%. Mashirika na viwanda vilikuwa ni mzigo mkubwa kwa wananchi. NBC ilikuwa ni mzigo mkubwa kwa wananchi. Serikali ilikuwa haipati kodi kutoka NBC. Sana sana NBC ilikuwa mbele kuchangia mikutano ya NEC ya CCM kule KIzota na sherehe nyingin za chama. Afadhali ilikufa! Leo wanalipa kodi na serikali inapata gawio la faida.

Mkapa alifanaya vizuri sana sana katika kuinua uchumi wa Tanzania. Kikwete alipoingia madarakani alikuta mwanga na hewa safi katika uchumi wa Tanzania. Forex Reserves aliyoacha Mkapa ilikuwa kama USD 4 bn na Export zilikuwa juu kuliko alipochukua nchi.

Marais walioingia madrakani wakiwa na wakati mzuri ni Nyerere na Kikwete. Nyerere alichukua nchi ikiwa maskini lakini system zote zilikuwa zinafanya kazi. Kikwete amechukua nchi ikiwa katika hali afadhali kiuchumu kuliko wakata Mwinyi na Mkapa wanaingia madarakani.

Samahani kwa ujumbe mrefu.

Mkuu hapo ndipo penye shida kubwa sana... Tuna ongoza ku-export Diamond, Gold, Nickel, Tanzanite, Ruby, nk Lakini mapato hayaonekani! Why? Mikataba mibovu ya Mkapa!!!! Grrrrr Tumebinafsisha TIPER na sasa hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa Bei ya MAFUTA! Why? Mkapa ameuza TIPER na sasa tuna nunua mafuta kutoka kwenye makampuni ya Ulaya badala ya kuingia mikataba na nchi zenye mafuta kama Iran et al... Mkuu JK hakukuta fedha hazina, Zile zilikuwa mbwembwe za IMF & WB zilizokuwa zinaficha mauchafu ya Mole wao Mkapa... Mkuu hata ukijaribu kupaka rangi bado itabaki kuwa MKAPA ameuza nchi yetu ....
 
Mkuu hapo ndipo penye shida kubwa sana... Tuna ongoza ku-export Diamond, Gold, Nickel, Tanzanite, Ruby, nk Lakini mapato hayaonekani! Why? Mikataba mibovu ya Mkapa!!!! Grrrrr Tumebinafsisha TIPER na sasa hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa Bei ya MAFUTA! Why? Mkapa ameuza TIPER na sasa tuna nunua mafuta kutoka kwenye makampuni ya Ulaya badala ya kuingia mikataba na nchi zenye mafuta kama Iran et al... Mkuu JK hakukuta fedha hazina, Zile zilikuwa mbwembwe za IMF & WB zilizokuwa zinaficha mauchafu ya Mole wao Mkapa... Mkuu hata ukijaribu kupaka rangi bado itabaki kuwa MKAPA ameuza nchi yetu ....


Kwa bahati mbaya mimi siwezi kukubaliana na wewe kuwa Mkapa hakuacha pesa benki kuu. Kwa mtazamo huo huo tuaweza kusema kuwa palebenki kuu leo hii hakuna pesa yeyote kama wanavyodai. Nani kaziona?

Mkapa ana madhambi yake lakini ukiacha Nyerere hakuna Rais aliyeingia Ikulu baada yake ambaye hana madhambi ya wizi na kujimegea.

Kuhusu exports, nijuavyo mimi exports za dhahabu ni hazizidi nusu ya exports za Tanzania (huenda ni 1/3). Bidhaaa za kutoka viwandani nazo zimekwenda juu sana zinapita jumla ya exports za mazao yote ya kilimo unayoyajua. Nickel bado hatujaanza kuchimba. Exports za Rybu, Tanzanite, n.k. hesaby zake hazijulikani vizuri kwani zinatoroshwa na wajanja wachache. Exports za diamond ni kidogo sana katika uchumi wa Tanznaia ya leo.
 
Kwa bahati mbaya mimi siwezi kukubaliana na wewe kuwa Mkapa hakuacha pesa benki kuu. Kwa mtazamo huo huo tuaweza kusema kuwa palebenki kuu leo hii hakuna pesa yeyote kama wanavyodai. Nani kaziona?

Mkapa ana madhambi yake lakini ukiacha Nyerere hakuna Rais aliyeingia Ikulu baada yake ambaye hana madhambi ya wizi na kujimegea.

Kuhusu exports, nijuavyo mimi exports za dhahabu ni hazizidi nusu ya exports za Tanzania (huenda ni 1/3). Bidhaaa za kutoka viwandani nazo zimekwenda juu sana zinapita jumla ya exports za mazao yote ya kilimo unayoyajua. Nickel bado hatujaanza kuchimba. Exports za Rybu, Tanzanite, n.k. hesaby zake hazijulikani vizuri kwani zinatoroshwa na wajanja wachache. Exports za diamond ni kidogo sana katika uchumi wa Tanznaia ya leo.
No research no wright to speak... wewe data zako unazitoa wapi?... sisi tunajua kuwa Tanzania imeongoza kwa ku-export Gold tena inashika number 3 duniani since 2002! Barrick et al wanatengeneza super duppa profits, Samax Afgerm Tanzanite one wamemaliza Tanzanite za Mererani, Nickel ya Kabanga inasafirishwa since 2010! Ruby kuna watu wanaviwanja vya ndege kule Tunduma na wanalindwa na wanajeshi wetu...wewe unaongea nini hapa bila data? Leseni ya Mining Exploration inawatosha hawahitaji hata leseni ya uchimbaji kwani madini ya Tanzania yako juu ya ardhi... Kwa taarifa yako Mgodi wa mwadui unatafuta Almasi mpaka karibia na misungwi!!! Mwaka Juzi wamekutana na Diamond kubwa kuliko zote! eti wamepeleka kwa malkia!!! Grrrrrrr ... Kubali kata .. Mkapa amuza nchi hii... JK anataabika kwa sanaaaa
 
Jibu rahic kaka zetu baba zetu, achieni tigo tupokee misada tuwe na uchumi wa juu, uchumi mnao ila mnautumia kwa kukalia. Mama njia walizofanya wenzetu kupata maendeleo sie tumeshindwa sa tufanyeje, achirn tigo msaada unakuja kwako mwenyewe sio kwa serekali
 
sisi hatuna vurugu na ni wengi wa kuridhika ndo maana tupo nyuma hivi nyie wana jf mnapenda kuwekwa Nyuma eeeh!!
 
No research no wright to speak... wewe data zako unazitoa wapi?... sisi tunajua kuwa Tanzania imeongoza kwa ku-export Gold tena inashika number 3 duniani since 2002! Barrick et al wanatengeneza super duppa profits, Samax Afgerm Tanzanite one wamemaliza Tanzanite za Mererani, Nickel ya Kabanga inasafirishwa since 2010! Ruby kuna watu wanaviwanja vya ndege kule Tunduma na wanalindwa na wanajeshi wetu...wewe unaongea nini hapa bila data? Leseni ya Mining Exploration inawatosha hawahitaji hata leseni ya uchimbaji kwani madini ya Tanzania yako juu ya ardhi... Kwa taarifa yako Mgodi wa mwadui unatafuta Almasi mpaka karibia na misungwi!!! Mwaka Juzi wamekutana na Diamond kubwa kuliko zote! eti wamepeleka kwa malkia!!! Grrrrrrr ... Kubali kata .. Mkapa amuza nchi hii... JK anataabika kwa sanaaaa

Sasa ulicholeta wewe mbona siyo data?

Ukitazama kwenye Internet tu utaona foreign reserves zimekuwa ngapi kwa miaka mingi iliyopita mpka leo. Kwa mfano, kwenye website hii
Tanzania - Reserves of foreign exchange and gold - Historical Data Graphs per Year
utapata data zifuatazo:


Country20042005200620072008200920102011
Tanzania

[TD="align: right"]2,175,000,000[/TD]
[TD="align: right"]2,074,000,000[/TD]
[TD="align: right"]2,375,000,000[/TD]
[TD="align: right"]2,910,000,000[/TD]
[TD="align: right"]2,915,000,000[/TD]
[TD="align: right"]3,206,000,000[/TD]
[TD="align: right"]3,687,000,000[/TD]
[TD="align: right"]3,726,000,000[/TD]

Tanzania haijawahi kushika nafasi ya tatu duniani kwa kuzalisha wala ku-export gold. Katika Afrika tumewahi kuwa wa tatu nafasi ambayo tunanyangányana na Mali. Katika dunia hata 10 bora hatumo. Tazama hapa World top 10 gold producers - countries and companies - GOLD NEWS - Mineweb.com Mineweb

Siwezi kusema chochote kuhusu Ruby na Tanzanite kwani tokea zamani mpaka leo serikali imeshindwa kudhibiti madini hayo.

Kuhusu Mgodi wa Mwadui ninachojua mimi ni kuwa serikali inapata 25% ya faida na kilichobaki anachukua mwekezaji aliyenunua kutoka DeBeers. Exports za Almasi ni kidogo sana. Almasi kubwa sijui aliyeipata, Mwadui au watu binafsi, lakini nilisikia kuwa aliyeipata alikuwa ni mtu binafsi. Kupelekwa kwa Malkia? au kuuza kwa Malkia?

Kama JK anapata taabu kwa kweli atakuwa ni mzembe sana. Ana kila kitu kinachomwezesha kuendeleza nchi hii.
 
Sasa ulicholeta wewe mbona siyo data?

Ukitazama kwenye Internet tu utaona foreign reserves zimekuwa ngapi kwa miaka mingi iliyopita mpka leo. Kwa mfano, kwenye website hii
Tanzania - Reserves of foreign exchange and gold - Historical Data Graphs per Year
utapata data zifuatazo:


Country
2004
2005
2006
2007
2008
2009
2010
2011
Tanzania

[TD="align: right"]2,175,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]2,074,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]2,375,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]2,910,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]2,915,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]3,206,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]3,687,000,000
[/TD]
[TD="align: right"]3,726,000,000
[/TD]

Tanzania haijawahi kushika nafasi ya tatu duniani kwa kuzalisha wala ku-export gold. Katika Afrika tumewahi kuwa wa tatu nafasi ambayo tunanyangányana na Mali. Katika dunia hata 10 bora hatumo. Tazama hapa World top 10 gold producers - countries and companies - GOLD NEWS - Mineweb.com Mineweb

Siwezi kusema chochote kuhusu Ruby na Tanzanite kwani tokea zamani mpaka leo serikali imeshindwa kudhibiti madini hayo.

Kuhusu Mgodi wa Mwadui ninachojua mimi ni kuwa serikali inapata 25% ya faida na kilichobaki anachukua mwekezaji aliyenunua kutoka DeBeers. Exports za Almasi ni kidogo sana. Almasi kubwa sijui aliyeipata, Mwadui au watu binafsi, lakini nilisikia kuwa aliyeipata alikuwa ni mtu binafsi. Kupelekwa kwa Malkia? au kuuza kwa Malkia?

Kama JK anapata taabu kwa kweli atakuwa ni mzembe sana. Ana kila kitu kinachomwezesha kuendeleza nchi hii.

Mkuu data zako hazina uhalisia hazina uhalali same kwa data za WB & IMF zinazojulikana kwa kupika data kwa maslahi mapana ya watu wa Magharibi!.... usipende kuamini kila unachosikia ama kuonyeshwa bila ya kufanya utafiti wa kutosha Mkuu... Tembelea Mwadui uwasikie bila ya kuambiwa! Mapema mwezi wa 3 walitufanyia presentation na kutueleza kuwa mgodi utaanza kufikiria kulipa kodi, mrabaha na kuingia makubaliano ya shares after 2018 kwa mujibu wa makubaliano!!! Mgodi ulifanikiwa kupata Mother of all Pink Diamond wenye thamani ya zaidi ya mara 10 ya deni letu la Taifa 2012! Almasi hiyo wamepeleka kwa Malkia! ... I wish ungejua Game la Mataifa makubwa Mkuu.. hawa wanaoperate via MNCs zao kwa niaba ya seriikali zao! ... Obama kuja hapa Bongo kwenye Issue ya Symbion haikua bahati mbaya Mkuu... Sisi Mazuzu ndo tunaambiwa eti serikali isifanye biashara BALI isamehe MNCs kodi na kuongeza KOdi kwa Wananchi wake ....
 
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???

Shocking.....
BOFYA. http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_sovereign_states_and_dependent_territories_in_Africa:
 
Mkuu data zako hazina uhalisia hazina uhalali same kwa data za WB & IMF zinazojulikana kwa kupika data kwa maslahi mapana ya watu wa Magharibi!.... usipende kuamini kila unachosikia ama kuonyeshwa bila ya kufanya utafiti wa kutosha Mkuu... Tembelea Mwadui uwasikie bila ya kuambiwa! Mapema mwezi wa 3 walitufanyia presentation na kutueleza kuwa mgodi utaanza kufikiria kulipa kodi, mrabaha na kuingia makubaliano ya shares after 2018 kwa mujibu wa makubaliano!!! Mgodi ulifanikiwa kupata Mother of all Pink Diamond wenye thamani ya zaidi ya mara 10 ya deni letu la Taifa 2012! Almasi hiyo wamepeleka kwa Malkia! ... I wish ungejua Game la Mataifa makubwa Mkuu.. hawa wanaoperate via MNCs zao kwa niaba ya seriikali zao! ... Obama kuja hapa Bongo kwenye Issue ya Symbion haikua bahati mbaya Mkuu... Sisi Mazuzu ndo tunaambiwa eti serikali isifanye biashara BALI isamehe MNCs kodi na kuongeza KOdi kwa Wananchi wake ....

Fanaya utafiti wako halafu leta jamvini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom