MAAJABU YA SOKA: Wiki hii imejirudia, iliwahi kutokea August 11 -24 mwaka 2019

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Apr 16, 2021
334
657
August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini.

Tulinyanyasika wiki nzima lakini mwisho wa wiki tarehe 24 Jumamosi yake Yanga akashinda moja bila ugenini na kufuzu hatua inayofuata halafu watu wa Simba wakacheka sana, wakasema subirini wanaume kesho.

Looh, ilipofika hiyo Jumapili wakatoka sare ya moja moja na kuaga mashindano kwa kucheza mechi mbili tu. Haisemwi semwi na nadhani ni makusudi lakini msimu huo 2019/20 Simba ilicheza mechi mbili ikatolewa, Yanga ikacheza mechi sita. Naona wiki hii imejirudia, walienda raundi ya pili wakacheza na Zesco na Pyramid kwenye play off ya shirikisho.
 
We ebu acha kujipa matumaini yasiyo karibiana na uhalisia.

Binafsi kila nikiiangalia Yanga katika kipimdi hiki cha mpito naona kuna namna nyingi ambazo ni bora zaidi ambazo zinaweza kutumika kujipa matumaini ya kuwa encourage mashabiki waweze kurudisha imani yao iliyopotea, kuliko hii mifano ambayo wengi wenu nimeona mkiitumia.

Kwanini swala la Yanga kufuzu lifikiriwe kuwa linawezekana kwa kuihusisha rekodi ya Simba kwenye michezo iliyowahi kupoteza?

Ni kweli Simba ilitolewa na Ud Songo, lakini hiyo inamnufaishaje mshabiki wa Yanga ambaye timu yake man of the match kwenye game yao ya mwisho ni golikipa?

Unashindwa ku point sehemu dhaifu ambazo ziliwasababishia kupata matokeo mabovu na kuangalia ni jinsi gani mnaweza kuzi fix kuhakikisha hamrudii makosa.

Lakini kumbe nyie wenzetu mmejikita kwenye rekodi alizowahi kufeli Mnyama.
 
August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini.

Tulinyanyasika wiki nzima lakini mwisho wa wiki tarehe 24 Jumamosi yake Yanga akashinda moja bila ugenini na kufuzu hatua inayofuata halafu watu wa Simba wakacheka sana, wakasema subirini wanaume kesho.

Looh, ilipofika hiyo Jumapili wakatoka sare ya moja moja na kuaga mashindano kwa kucheza mechi mbili tu. Haisemwi semwi na nadhani ni makusudi lakini msimu huo 2019/20 Simba ilicheza mechi mbili ikatolewa, Yanga ikacheza mechi sita. Naona wiki hii imejirudia, walienda raundi ya pili wakacheza na Zesco na Pyramid kwenye play off ya shirikisho.
Kwa hiyo yanga watafuzu? Hatutaki mambo ya historia hapa.
 
August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini.

Tulinyanyasika wiki nzima lakini mwisho wa wiki tarehe 24 Jumamosi yake Yanga akashinda moja bila ugenini na kufuzu hatua inayofuata halafu watu wa Simba wakacheka sana, wakasema subirini wanaume kesho.

Looh, ilipofika hiyo Jumapili wakatoka sare ya moja moja na kuaga mashindano kwa kucheza mechi mbili tu. Haisemwi semwi na nadhani ni makusudi lakini msimu huo 2019/20 Simba ilicheza mechi mbili ikatolewa, Yanga ikacheza mechi sita. Naona wiki hii imejirudia, walienda raundi ya pili wakacheza na Zesco na Pyramid kwenye play off ya shirikisho.
Ruksa kujifariji
 
August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini.

Tulinyanyasika wiki nzima lakini mwisho wa wiki tarehe 24 Jumamosi yake Yanga akashinda moja bila ugenini na kufuzu hatua inayofuata halafu watu wa Simba wakacheka sana, wakasema subirini wanaume kesho.

Looh, ilipofika hiyo Jumapili wakatoka sare ya moja moja na kuaga mashindano kwa kucheza mechi mbili tu. Haisemwi semwi na nadhani ni makusudi lakini msimu huo 2019/20 Simba ilicheza mechi mbili ikatolewa, Yanga ikacheza mechi sita. Naona wiki hii imejirudia, walienda raundi ya pili wakacheza na Zesco na Pyramid kwenye play off ya shirikisho.
kwahiyoYanga akaushia wap?
 
We ebu acha kujipa matumaini yasiyo karibiana na uhalisia.

Binafsi kila nikiiangalia Yanga katika kipimdi hiki cha mpito naona kuna namna nyingi ambazo ni bora zaidi ambazo zinaweza kutumika kujipa matumaini ya kuwa encourage mashabiki waweze kurudisha imani yao iliyopotea, kuliko hii mifano ambayo wengi wenu nimeona mkiitumia.

Kwanini swala la Yanga kufuzu lifikiriwe kuwa linawezekana kwa kuihusisha rekodi ya Simba kwenye michezo iliyowahi kupoteza?

Ni kweli Simba ilitolewa na Ud Songo, lakini hiyo inamnufaishaje mshabiki wa Yanga ambaye timu yake man of the match kwenye game yao ya mwisho ni golikipa?

Unashindwa ku point sehemu dhaifu ambazo ziliwasababishia kupata matokeo mabovu na kuangalia ni jinsi gani mnaweza kuzi fix kuhakikisha hamrudii makosa.

Lakini kumbe nyie wenzetu mmejikita kwenye rekodi alizowahi kufeli Mnyama.
Umeshindwa kumjibu unaruka ruka tu
Kasema Yanga ilishatoa draw ya 1-1 hapa Dar lakini ikaenda kushinda 1-ugenini

Nyie pamoja na wachambuzi uchwara unaizungumzia Yanga kama vile ishatolewa na Simba kama vile ishafuzu
Ndio pointi hapa, it is not over until it is over
 
We ebu acha kujipa matumaini yasiyo karibiana na uhalisia.

Binafsi kila nikiiangalia Yanga katika kipimdi hiki cha mpito naona kuna namna nyingi ambazo ni bora zaidi ambazo zinaweza kutumika kujipa matumaini ya kuwa encourage mashabiki waweze kurudisha imani yao iliyopotea, kuliko hii mifano ambayo wengi wenu nimeona mkiitumia.

Kwanini swala la Yanga kufuzu lifikiriwe kuwa linawezekana kwa kuihusisha rekodi ya Simba kwenye michezo iliyowahi kupoteza?

Ni kweli Simba ilitolewa na Ud Songo, lakini hiyo inamnufaishaje mshabiki wa Yanga ambaye timu yake man of the match kwenye game yao ya mwisho ni golikipa?

Unashindwa ku point sehemu dhaifu ambazo ziliwasababishia kupata matokeo mabovu na kuangalia ni jinsi gani mnaweza kuzi fix kuhakikisha hamrudii makosa.

Lakini kumbe nyie wenzetu mmejikita kwenye rekodi alizowahi kufeli Mnyama.
Habaelewi
 
August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini.

Tulinyanyasika wiki nzima lakini mwisho wa wiki tarehe 24 Jumamosi yake Yanga akashinda moja bila ugenini na kufuzu hatua inayofuata halafu watu wa Simba wakacheka sana, wakasema subirini wanaume kesho.

Looh, ilipofika hiyo Jumapili wakatoka sare ya moja moja na kuaga mashindano kwa kucheza mechi mbili tu. Haisemwi semwi na nadhani ni makusudi lakini msimu huo 2019/20 Simba ilicheza mechi mbili ikatolewa, Yanga ikacheza mechi sita. Naona wiki hii imejirudia, walienda raundi ya pili wakacheza na Zesco na Pyramid kwenye play off ya shirikisho.
Maneno yao tumeyazoea. Acha wabwabwaje tu. Nakumbuka hata mwaka jana tu hapa walitolewa na Galaxy ya Botswana, kizembe kabisa!

Maana mechi ya awali walishinda ugenini 0-2, halafu kwenye mechi ya marudio, walikuwa wanaongoza 1-0 mpaka kipindi cha kwanza kinaisha! Kilipoanza kipindi cha pili, wakaduwazwa kwa magoli 3 kwa 1, na Galaxy wakafuzu hatua inayofuata.
 
Uckarr bwashee,mnyama ameshajipambanua ktk mechi za kimataifa
Maneno yao tumeyazoea. Acha wabwabwaje tu. Nakumbuka hata mwaka jana tu hapa walitolewa na Galaxy ya Botswana, kizembe kabisa!

Maana mechi ya awali walishinda ugenini 0-2, halafu kwenye mechi ya marudio, walikuwa wanaongoza 1-0 mpaka kipindi cha kwanza kinaisha! Kilipoanza kipindi cha pili, wakaduwazwa kwa magoli 3 kwa 1, na Galaxy wakafuzu hatua inayofuata.
 
Umeshindwa kumjibu unaruka ruka tu
Kasema Yanga ilishatoa draw ya 1-1 hapa Dar lakini ikaenda kushinda 1-ugenini

Nyie pamoja na wachambuzi uchwara unaizungumzia Yanga kama vile ishatolewa na Simba kama vile ishafuzu
Ndio pointi hapa, it is not over until it is over
UTOPOLO NI MPAKA WAONDOE MWIKO,ndipo wawe na akili,shida ya UTO NI kuamini wamefika kiwango cha kushinda popote pale Afrika,ndio maana matumaini hewa yamejaa
 
Very foolish premise! Yaani unajipiga kifua na kuandika mitandaoni upuuzi Kama huu kwa faida ya Nani? Yaani unataka kuwaaminisha watu kwamba yanga ni noma Sana au siyo!..?

Kwanini msiwe wastaarabu na mkubali kuwa timu yenu ilitereza kutotumia vizuri uwanja wa nyumbani?

Pamoja na mifano yako hiyo yanga iliwahi kufanikiwa kuingia makundi? Pamoja na Simba kuondolewa na jwanneng Galaxy lakini ilifika hatua ya robo fainali CAFCC.

Mbona haurejerei mtoano kati ya Rivers United na Yanga yako ambapo mlipoteza nyumbani na ugenini?

Msiilazimishe furaha wakati chance yenu ya kufuzu ni 10% huku Al hillal ni 90%.

Wekezeni uwanjani siyo majigambo ya akina mandonga.
 
Back
Top Bottom