Maajabu ya Rangi 3 za msingi

Ray lee black is the absence of color. huo mchanganyiko huleta hali ya kushindwa kuakisi rangi ya aina yoyote ile kutoka kwenye mwanga mweupe. hivyo kinachotokea hapo ni giza a.k.a weusi.
nimekusoma mkuu
 


Topic kama hizi ni nzuri sana kwani zina mafundisho kwa anaezipitia. Ahsante.

Kwa kuweka sawa kidogo na kuongezea utamu ili watu waelewe vyema kuhusu "primary colors":

Hizo rangi tatu ulizozitaja ni kwa ajili ya "display" za elektroniki au (umeme) kitaalam huitwa "additive combination of colors".

Lakini rangi tatu za "primary" za kuchorea au ku print au kufanya "dye" za nguo ni "magenta, yellow an cyan" na kitaalam huitwa "subtractive combination of colors".

Ni kuweka sawa tu ili ufahamu wa watu upanuke.
 
Inawezekana mi sio mtaalam kuliko ww,ninachofaham rangi za msingi ni red,blue,yellow...labda unieleweshezaidi

Soma post namba 24, nimejaribu kuelezea tofauti ya hilo. Mleta mada hajakosea na wewe pia hujakosea.
 
Rangi za msingi.....

Umenikumbusha somo la sanaa.....

Nilikuwa nachukiiiiiia kile kipindi
 
Ahsante kwa ufafanuzi murua kuhusu hilo swala la yellow..
 
Rangi za msingi ni rangi zisizopatikana kwa kuchanganya rangi zingine ila kutoka kwazo unaweza changanya na kuzalisha rangi yyte,ie nyekundu nyeusi njano buluu na nyeupe,
 

Sio rangi, mwanga mweusi unapatikanaje!
 
Naona taa za LED kwa ajili ya majumbani sasa zimekuwa bei nafuu sana, hizi zinapunguza gharama za umeme kwa kiwango kikubwa mno, kwani inefficiency kupitia heat loss ni ndogo sana, LED oyeeee
 
Bila Shaka unamzungumzia moudy physics... Mchikichin hiyo aise pale tumepitia wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…