Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,812
- 40,298
1. Aliingiaje Tanzania?
2. Aliamini mwenye nyumba wake hangemchoma? Kumuhifadhi mtu wa aina hiyo ni sawa na kuunga mkono uhaini kwa serkali je aliamini mwenyenyumba wake asingemchoma? Maana kumpangisha ni sawa na kuhifadhi cocaine bangi au silaha nyumbani kwako.
3. Kwanamna yoyote alikuwa anaficha utambulisho akitoka na gari mfano kuvaa hijabu kidemu.
4.Je kurudi kwake bongo na kauli za kapten tesha ilikuwa ndio maandalizi ya kupindua nchi?
5. Naamini kuna watu wanafinywa muda huu zaidi ya tesha na Polepole.
2. Aliamini mwenye nyumba wake hangemchoma? Kumuhifadhi mtu wa aina hiyo ni sawa na kuunga mkono uhaini kwa serkali je aliamini mwenyenyumba wake asingemchoma? Maana kumpangisha ni sawa na kuhifadhi cocaine bangi au silaha nyumbani kwako.
3. Kwanamna yoyote alikuwa anaficha utambulisho akitoka na gari mfano kuvaa hijabu kidemu.
4.Je kurudi kwake bongo na kauli za kapten tesha ilikuwa ndio maandalizi ya kupindua nchi?
5. Naamini kuna watu wanafinywa muda huu zaidi ya tesha na Polepole.