Nyie ndo kawaida yenu kutengeneza pics of that kind ili kuinstill fear kwenye mind za watu waone kuwa dini yenu ni ya kweli. Atuambie hiyo ni nchi gani tutafute evidence za kweli
Tuheshimiane we bumunda mi mwenyewe nimeuliza tu na si kwamba ni muislam ilitakiwa anijibu alieweka picha na si wewe badala yake unaanza kuleta ishu za udini senzy sana.