Maajabu ya mwenyeezi mungu tsunami

Maajabu ya mwenyeezi mungu tsunami

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
1896869_10152283668799183_1323691012_n.jpg
 
Mkuu ya kweli haya? Na ilitokea wapi asee hadi naogopa yani majengo yote yamekwenda lakini masijidi pamebaki duh!
 
Mkuu ya kweli haya? Na ilitokea wapi asee hadi naogopa yani majengo yote yamekwenda lakini masijidi pamebaki duh!

Nyie ndo kawaida yenu kutengeneza pics of that kind ili kuinstill fear kwenye mind za watu waone kuwa dini yenu ni ya kweli. Atuambie hiyo ni nchi gani tutafute evidence za kweli
 
Sio photoshop hii ilitokea Indonesia ule mwaka wa tsunami

Hata kama ni kweli,,use simpo logic,angalia hayo majengo yaliyozunguka huo msikiti,u can easily see kuwa hayako stable hayana foundation imara,so it is obvious kuwa chances zilikuwa kubwa hilo jengo la msikiti libaki katika hilo eneo. Hii wala haihusiani na Mungu ila tu hilo jengo ndo lilikuwa imara kwenye hilo eneo
 

Hivi unahitaji kuwa injinia wa roketi ili utambue kuwa hayo majengo yote yaliyozunguka huo msikiti sio imara?..kwa picha tu yanaonekana,there is no need to imply God's miracle kwenye kitu ambacho sababu zake ziko wazi. Huo msikiti ndio jengo kubwa kwa sehemu hiyo na ndio linaonekana kuwa imara, hivyo vingine ni vibanda tu kana vya kwetu huku uswahilini
 
jua huzunguka dunia kila siku asb na jioni usiku hupumzika ktk tope,tena jua na mwezi ni marafiki wakubwa huongea na kusalimiana LOL!simple science hayo majengo yaliopo pembeni lazima yali act kama "guards" ya mawimbi
 
Hivi unahitaji kuwa injinia wa roketi ili utambue kuwa hayo majengo yote yaliyozunguka huo msikiti sio imara?..kwa picha tu yanaonekana,there is no need to imply God's miracle kwenye kitu ambacho sababu zake ziko wazi. Huo msikiti ndio jengo kubwa kwa sehemu hiyo na ndio linaonekana kuwa imara, hivyo vingine ni vibanda tu kana vya kwetu huku uswahilini

Kwanini unashindwa kukubaliana na ukweli ata wa picha? Unabisha ili iweje? Wewe unajuaje kama hivo ni vibanda?
Kwa elimu ya bure tu ni kua hiyo sio mara ya kwanza kutokea dunia sawa Mpendasifa?
 
Last edited by a moderator:
Kwanini unashindwa kukubaliana na ukweli ata wa picha? Unabisha ili iweje? Wewe unajuaje kama hivo ni vibanda?
Kwa elimu ya bure tu ni kua hiyo sio mara ya kwanza kutokea dunia sawa Mpendasifa?

Lets end this matter,,what i know is that these things are purposely created to delude people like you who are driven by miracles. Lets agree to disagree,you believe what you believe, i will believe in what i do!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom