Maajabu ya muslims!

Wewe ndio umekuja kwenye post yangu sijakuita.
Unasemaa nilichosema ni uongo ili hali hata passport huna hapo ulipo.
Una google information
Dogo,
Huko Middle East nilishakaa, na kwingine pia. Cha msingi jikite kwenye mada
 
Dogo,
Huko Middle East nilishakaa, na kwingine pia. Cha msingi jikite kwenye mada
Mm nimethibitisha kuwa watu barabarani wanaswali na mm mmoja wapo.
Acheni kugoogle vitu AI zitawaponza hizo tembeeniii mjionee ulimwengu.
kazi kulishwa propaganda tu
 
Tatizo ni kulazimisha misikiti kuwa katikati miji matokeo yake wanapata vieneo vidogo tu na kuanza kufunga barabara. Waige kwa wengine wanaoenda nje ya mji na kuchukua hekta kadhaa.

Ila pia ustaarabu waongeze. Kufunga barabara ni ushamba
 
Dogo,
Huko Middle East nilishakaa, na kwingine pia. Cha msingi jikite kwenye mada
Mm nimethibitisha kuwa watu barabarani wanaswali na mm mmoja wapo.
Acheni kugoogle vitu AI zitawaponza hizo tembeeniii mjionee ulimwengu.
kazi kulishwa propaganda
 
Hivi umefika au unaongea kama hupo iringa huko
Mimi nimefika na nimeswali Ijumaa barabarani
Una swali jingine?
Una passport hata ile ya kuvukia Burundi ?
 
90% ya Uislam ni utamaduni wa Waarabu, hapa bongo huo utamaduni ndio dini yenyewe sasa 😂
 
Huna akili,chuki zitakuuweni hizo,mnapata wapi muda wakuchukiana wapuuzi nyie.
 
Hiyo ni show off na kulazimisha ugomvi... wenye akili wanawapotezea na kuendelea na mambo yao. Yaani ni kulazimisha kukubalika.
 
Sahivi tunataka kufunga mtaa siyo barabara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…