Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Haswaa atoto, mke wa shemeji yangu akiwa mjamzito tabu zote anapata mumewe, mwanaume ataumwa vitu havieleweki, mara ajiskie kutapika, mara aanze kuchagua vyakula, Inashangaza but mwenyewe alishajijua. Anasemaga kabisa kuwa mkewe akiwa na mimba tabu zote anabeba yeye mpaka atakapojifungua, sijui hata kuna connection gani za kibaolojia.Unaweza pitia pia, kuna ambao wakibeba taabu wanapata wanaume.
