Maajabu ya mgunduzi wa umeme Duniani

Kwahiyo unataka kusema umeme unaotumia nyumbani ni wa dynamo?
Dynamo ni nini ? Tofauti ya dynamo na generator ni kwamba dynamo ina commutator (ambayo ni brush fulani inayoconvert AC current kwenda DC) vitu vingi ndani ya nyumba ni DC ndio maana kuna adaptors zinazobadilisha hio AC kutoka kwenye power generation kuwa DC ili itumike sehemu mbalimbali

Solar ni DC, Batteries ni DC (kuhusu chombo kutumia DC au AC ni kwamba kinatengenezwa ili kitumie hivyo...., kwahio hata generator za kipindi hicho / dyanamo zilikuwa zinatoa AC current ila wanaibadilisha kuwa DC kulingana na matumizi...

Now why AC ?!!!

Kusafirisha umeme kama DC tuseme ufike kwako kama unataka kutumia high current..., zinahitaji kwanza waya nene alafu kutokuwa na upotevu mkubwa wa nishati kama heat (sababu product of heat ni Current x Current x Resistance) kwahio utaona high current kwenye waya kusafirisha umbali mrefu kutakuwa na upotevu mkubwa wa nishati..., Kwahio sababu kunakitu kinaitwa transformer (ambayo basic formula ni Current 1 Voltage 1 equals Current 2 Voltage 2 hivyo ni rahisi kusafirisha umeme kwa high voltage low current na ikifika sehemu inayohitajika kunakuwa na Step Up Transfomer ambayo inapandisha current kutokana na matumizi hivyo less power wastage...

Watu wengi walikuwa wanajua hii kitu, ila walikuwa wanaogopa AC kwamba ni dangerous..., Tesla alijitahidi kuwa convince customers kwamba huu umeme sio hatari na kama unavyojua biashara inategemea customers kama products nyingi zikitengenezwa universally kutumia aina fulani ya nishati basi ni rahisi kwa aina hio kuwa mainstream....
 
Kwa lugha nyepesi kumuelewesha mtu nini tofauti ya AC na DC
Alternating Current na Direct Current...,

Alternating ni kama jina lilivyo inabadilika inakwenda mbele na inarudi nyuma..., why ??? ; Ukichukua sumaku ukaipitisha sambamba na wire electrons zina-move kwahio ukipeleka hio sumaku kwenda mbele current inakuwa induced opposite na hio sumaku, ukiirudisha nyuma inakuwa induced opposite na hio sumaku (hapo utaona umeme huo sio direct bali una-alternate....)

Vyote vinaweza vikafanya matumizi sawa ila AC ina-advantage ya induction ambayo inatuletea vitu kama transformer kufanya kazi ambayo inasaidi kusafirisha umeme masafa marefu kwa kutumia current ndogo na voltage kubwa ili kupunguza upungufu wa nishati, sababu hasara ya kusafirisha current kubwa kwenye waya ni upotevu wa nishati kupotea kama joto
 
Mbona hamuwaandiki wanasayansi weusi waliogundua Light Bulb kama lewis Latimer?

Unajua kwamba Kijana mweusi Ramarni Wilfred ame score IQ ya Juu zaidi ya 162 kupita Stephen Hawking, Albert Einstein na Bill gates?
Then amefanya kipi chenye tija na hy IQ yake??

kuwa smartest its not all abt IQ
 
Dynamo ni nini ? Tofauti ya dynamo na generator ni kwamba dynamo ina commutator (ambayo ni brush fulani inayoconvert AC current kwenda DC) vitu vingi ndani ya nyumba ni DC ndio maana kuna adaptors zinazobadilisha hio AC kutoka kwenye power generation kuwa DC ili itumike sehemu mbalimbali

Solar ni DC, Batteries ni DC (kuhusu chombo kutumia DC au AC ni kwamba kinatengenezwa ili kitumie hivyo...., kwahio hata generator za kipindi hicho / dyanamo zilikuwa zinatoa AC current ila wanaibadilisha kuwa DC kulingana na matumizi...

Now why AC ?!!!

Kusafirisha umeme kama DC tuseme ufike kwako kama unataka kutumia high current..., zinahitaji kwanza waya nene alafu kutokuwa na upotevu mkubwa wa nishati kama heat (sababu product of heat ni Current x Current x Resistance) kwahio utaona high current kwenye waya kusafirisha umbali mrefu kutakuwa na upotevu mkubwa wa nishati..., Kwahio sababu kunakitu kinaitwa transformer (ambayo basic formula ni Current 1 Voltage 1 equals Current 2 Voltage 2 hivyo ni rahisi kusafirisha umeme kwa high voltage low current na ikifika sehemu inayohitajika kunakuwa na Step Up Transfomer ambayo inapandisha current kutokana na matumizi hivyo less power wastage...

Watu wengi walikuwa wanajua hii kitu, ila walikuwa wanaogopa AC kwamba ni dangerous..., Tesla alijitahidi kuwa convince customers kwamba huu umeme sio hatari na kama unavyojua biashara inategemea customers kama products nyingi zikitengenezwa universally kutumia aina fulani ya nishati basi ni rahisi kwa aina hio kuwa mainstream....
Hapo umepiga story tu, dc haiwezi kusafirishwa na waya mnene kwa sababu haipotei, kuna sehemu Marekani wametransmit umeme wa dc kwa kilometer kadhaa sipakumbuki ni wapi ila ipo hiyo sehemu.
 
Hapo umepiga story tu, dc haiwezi kusafirishwa na waya mnene kwa sababu haipotei, kuna sehemu Marekani wametransmit umeme wa dc kwa kilometer kadhaa sipakumbuki ni wapi ila ipo hiyo sehemu.
Unaongelea High Voltage Direct Current Transmission hio ni efficient iwapo tu unasafirisha umeme mwingi kwa umbali mkubwa sana (hapo DC itakuwa efficient sababu haina Skin Effect kama AC) ila kwa kawaida with all things being equal ni rahisi kwa transfomer kutumika ku-step down current na kuongeza voltage wakati wa kusafirisha umeme (kupunguza loss due to heat) na ikifika mahali inapoenda kunakuwa na transformer nyingine.. Ila technology zinavyobadilika na mambo yanabadilika..., High Voltage Direct Current Transmission huenda ikawa inatumika zaidi na zaidi hapo baadae, kumbuka convertion inapoteza nishati na power stations nyingi duniani zinatoa AC na sio DC (kwa kutumia generators)
 
Back
Top Bottom