Kuwite94
Member
- Oct 10, 2016
- 16
- 117
Nikola Tesla alikua na akili kiasi cha watu kumuona ni mwendawazimu, lakin huyu ndo ameiwashia dunia umeme, ni mtu wa kwanza kugundua mawimbi ya radio, minara ya simu, wirelessly technology, leo hii maji/upepo/gas inageuka kuwa umeme, unasikiliza radio kutoka mbali, unapiga simu kwenda mbali ni miujiza iliyogeuzwa kuwa ya kweli, hizi modern technology unazoona sahiv ni maboresho tu ya zawad zake alizo ziachia dunia.
Lakin Tesla kwenye maisha yake hakua na Nyumba, mke wala mtoto, rafiki yake alikua ni njiwa tu, na kama angeendelea kuish kidogo bas alishaanza majaribio ya kuunganisha dunia kwa umeme usio tumia waya, Ila watu wenye tamaa ya pesa walichoma maabara yake na walimmaliza kabla hajakamilisha hilo kusudio lake, ubaya wa jamaa yeye alikua vitu anavyo vifikiria anakaa navyo kichwan tu na kuvifanyia kazi alikua anaandika Mara chache sana tena kidogo mno kiasi cha ukikuta ameandika kitu huwezi kuelewa kaandika nini,alafu hayo makaratasi yenyewe alikua anayatupatupa hovyo.
Africa yetu elimu tunayo pewa ni elimu iliyokua na mipaka mingi ambayo huruhusiwi wewe kuongeza mawazo yako, na akitokea mtu asie na cheti akaleta wazo tofaut anaonekana hana akili kumbe hata kina Tesla hawakua na vyeti na walipuuzwa mwanzo ila wakaibadilisha dunia, inawezekana ndo chanzo cha wenye elimu kuwa na uwezo mdogo wa kutatua changamoto kiasi cha wasio na elimu kuiona elimu haina thamani, maana asie na elimu inambidi atumie kiasi kikubwa cha uwezo wake wa kufikiri kutafuta solution hali ya kuwa mwenye elimu anatumia elimu aliyopewa darasani tu.
Lakin Tesla kwenye maisha yake hakua na Nyumba, mke wala mtoto, rafiki yake alikua ni njiwa tu, na kama angeendelea kuish kidogo bas alishaanza majaribio ya kuunganisha dunia kwa umeme usio tumia waya, Ila watu wenye tamaa ya pesa walichoma maabara yake na walimmaliza kabla hajakamilisha hilo kusudio lake, ubaya wa jamaa yeye alikua vitu anavyo vifikiria anakaa navyo kichwan tu na kuvifanyia kazi alikua anaandika Mara chache sana tena kidogo mno kiasi cha ukikuta ameandika kitu huwezi kuelewa kaandika nini,alafu hayo makaratasi yenyewe alikua anayatupatupa hovyo.
Africa yetu elimu tunayo pewa ni elimu iliyokua na mipaka mingi ambayo huruhusiwi wewe kuongeza mawazo yako, na akitokea mtu asie na cheti akaleta wazo tofaut anaonekana hana akili kumbe hata kina Tesla hawakua na vyeti na walipuuzwa mwanzo ila wakaibadilisha dunia, inawezekana ndo chanzo cha wenye elimu kuwa na uwezo mdogo wa kutatua changamoto kiasi cha wasio na elimu kuiona elimu haina thamani, maana asie na elimu inambidi atumie kiasi kikubwa cha uwezo wake wa kufikiri kutafuta solution hali ya kuwa mwenye elimu anatumia elimu aliyopewa darasani tu.