Maajabu ya mgunduzi wa umeme Duniani

Father of Electricity ni Michael Faraday, Tesla yeye amevumbua umeme wa ac, kipindi hicho umeme wa dc ulikuwepo.
Alivumbua AC ?!!!!

Sir Isaac once said and I Qoute....

“If I have seen further, it is by standing on the shoulders of giants.”

Akimaanisha He relied on the ideas of those who came before him.
 
Nisaidie tofauti ya umeme wa AC na DC.For the sake of learning.
Umeme wa ac tukiangalia in terms of graph ni alternating, graph ipo sinusoidal, unaenda high, zero then low.

Umeme wa dc upo direct, hakuna point ambayo ipo low. Siwezi kufafanua.
 
Mbona hamuwaandiki wanasayansi weusi waliogundua Light Bulb kama lewis Latimer?

Unajua kwamba Kijana mweusi Ramarni Wilfred ame score IQ ya Juu zaidi ya 162 kupita Stephen Hawking, Albert Einstein na Bill gates?
Hio IQ yake mpaka sasa hivi imeisaidia nini dunia kuwazidi Stephen Hawking, Albert Einstein na Bill gates?
Utakuta huyo Ramarni Wilfred hana tofauti yoyote na Roberto Cabrera yule mwanaume mwenye uume mkubwa kuliko wote duniani, pamoja na ukubwa wa uume wake ila mpaka leo hii hana mke wala mtoto sanasana anateseka tu na ugonjwa usioisha wa UTI kutokana na uume wake kushindwa kutoa mkojo wote pindi anapojisaidia.
 
Sijakuelewa
Unasema aligundua AC Electricity ?!!!

Je kwenye dynamo au electric generation kwa kutumia magnetism kabla haujaweka commutator umeme unaotoka hapo ni upi kama sio AC

Je idea ya Transformer iligunduliwa lini ? , na je bila AC electricity Transformer inaweza kufanya kazi ?
 
Back
Top Bottom