Maajabu ya kufa na kuzaliwa

Nathubutu kukuita mpu..mba.vu coz unataka kuanzisha dini yako wewe,bible inadeclare hivyo wewe unapinga?pole sana ndugu yangu,ili kuprove kuwa ukisemacho ni uongo tena mkubwa nenda kalale ktk barabara halafu gari likukanyage kichwa,tutaona.
 
Leta huo ushahidi wa kisayansi na kiroho unao sema tukiamini hatufi basi hatutakufa kweli.
 
‎
556354_281415048628024_1403844528_n.jpg



1,Kifo ni nini?

2,nini kinatokea baada ya kifo?
3,Ipo siku binadamu atashinda kifo?
*Haya ni maswali ambayo yanasumbua akili ya binadamu mwenye akili timamu*.​


>Picha hii ni moja ya picha zilizotengenezwa na binadamu zikionyesha jinsi binadamu anavochukulia kifo.Picha hii inaeleza jinsi kifo kilivyo kibaya na cha kutisha.

>Kwa sasa dunia ina watu zaidi ya bilioni saba(7) lakini watu walio katika makaburi au walio kufa ni zaidi mara nyingi kuliko bilioni 7 walio hai leo.

>Katika nyakati zote za uwepo wa binadamu duniani pamoja na kufanya maendeleo makubwa duniani,mfano;Kijamii,Kiuchumi,Kitamaduni,Kiroho na hasa sayansi na tekinologia bado binadamu hajaweza kupata mbinu za kushinda kifo.

>Binadamu tunakufa kwa sababu tofauti, mojawapo ni kama vile;Magonjwa,Ajali,Majanga hasa yale yanayosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini kubwa zaidi ni kitendo cha binadamu mwenyewe *kukubali kufa*

>Tunakubali kufa kivipi? na kuna kosa lolote? jibu ni NDIYO.
Kosa moja wapo kati ya mengi ni
*kitendo cha binadamu kuamini kuwa atakufa,wote tukubaliane bila ubishi kuwa mratibu wa matendo ya mwili wa binadamu ni UBONGO.Hivyo basi kitendo cha ubongo kukubali kufa maana yake ni sawa na kwenda kucheza mechi huku matokeo unayajuwa.

>Mimi naamini binadamu akijifunza njia sahihi za kushinda kifo na kukiepuka anaweza kuishi milele.Ushahidi wa kisayansi na hata ule wa kiroho unaonyesha hivyo.Njia moja kati ya hizo;
*Watu wakatae mafundisho yote yanayohubili ushindi wa kifo*

>Maneno kama;Mungu ndie anajua,kazi ya Mungu haina makosa yanaonyesha udhaifu na kukata tamaa.Ndugu zangu hata Mungu hapendi watu dhaifu anataka watu wanaojiamini na kujitoa kwa ajiri ya wengine kama yeye afanyavyo, yeye si dhaifu na kwake wadhaifu hawataingia kamwe.

>Tulio hai tusikubali kufa,tukikatae kifo na tupambane nacho kwa njia zake zote na tukubali kuwa ipo siku tunaweza kuishi hata milele bila kufa

Historia inasema hapo mwanzo Mungu alikusudia binadamu waishi milele bila kufa yaani binadamu angekuwa na seli ambazo hazizeeki lakini kutokana na uasi wa wazazi wa kwanza mayokeo ya uasi huo ilipelekea kufa kwa hali tofauti na sisi kwakuwa ni waridhi wa wazazi wetu hao tunakufa pia yaani tunakuwa na seli tulizo ridhi zinazokufa ndiyo maana tunakufa.

Sasa kwamba tujitune katika hali ya kutokufa au kujiweka katika hali hiyo haiwezekani hata kidogo labda kwani tutakuwa kunaenda kinyume cha asili.
 
Duhh kuna jamaa wana jua kumuudhu muumba, hivi tujiule kama kusinge kua nakufa je kunge kua na kuzaliwa? Kwali shetani kesha shinda nafs za watu wengi. Naomba mungu aniondoe duniani kabla lusifa aja tawala dunia, ameeeeeen
 
ni kweli kwamba.......
mimba nyingi zinatungika usiku
kwamba watoto wengi wanazaliwa usiku,, ,
kwa vifo nahitaji utafiti
sababu za msingi hazipo ila watu wengi wanaogopa kufanya mapenzi wakati wa mchana
kuhusu kujifungua ni kwamba moja kati ya natural ways za kufastisha kujifungua baada ya uchungu kuanza ni mazoezi kutembeando maana mchana baada ya kutembea wengi wanaishia kujifungua usiku, , it's natural kwa wale tulobahatika kupita wodi za kujifungulia aka labor word au wodi za wazazi tunajua ilivo tough mida ya usiku,,, kuzalisha wengi
 
Mhh Awe Mungu wa mbingu ufalmewako utukuzwe milele nakuomba kwa rehemazako uwasamehe wanaokudhi kwa ukosawao wa elim yakuJuan uwezo wako
Amin
 
Duhh kuna jamaa wana jua kumuudhu muumba, hivi tujiule kama kusinge kua nakufa je kunge kua na kuzaliwa? Kwali shetani kesha shinda nafs za watu wengi. Naomba mungu aniondoe duniani kabla lusifa aja tawala dunia, ameeeeeen
Mkuu atawale mara ngapi?
 
Wadau nimejalibu kufuatilia na kufuatiliana masuala ya kufa na kuzaliwa

KUZALIWA
mana kwa takwimu mbalimbali inaonyesha watu wengi hujifungua hasa nyakati za usiku kuanzia mida ya kumi jioni na kuendelea mpaka saa nne asubuhi kwa mida ya mchana ni nadra sana

KUFA/KUKATA ROHO.KUAGA DUNIA
Watu walio wengi ambao husumbuliwa na maradhi mbalimbali nao huanza kufa kuanzia nyakati za jioni,usiku mpaka mida ya saa tano asubuh na kama itatokea kufa mchana ni wachache sana

Ivi hiyo mida inauhusiano gani na hayo matukio mawili mana watu hawazaliwi mchana na wala hawaagi dunia mida ya mchana?
Nb.hapo hatujazungumzia ajali
Nilichokuwa nakiona makaburini tukienda kuzika ni kuwa mwezi wa kuzaliwa na mwezi wa kufa haupishani kwa zaidi ya tatu, kwenye maandishi ya makaburi mengi niliyoyasoma.
 
Kila wazo ni sahihi kulingana na imani na kinavotetewa,usimwite mtu mpumbavu kwa mawazo yake,jaribu kuyaheshimu au upinge kwa hoja yenye kuuonyesha hoja yako uiaminio ili uwe umemfundisha na siyo kumvunja moyo kwa kutukana
Nathubutu kukuita mpu..mba.vu coz unataka kuanzisha dini yako wewe,bible inadeclare hivyo wewe unapinga?pole sana ndugu yangu,ili kuprove kuwa ukisemacho ni uongo tena mkubwa nenda kalale ktk barabara halafu gari likukanyage kichwa,tutaona.
 
Nathubutu kukuita mpu..mba.vu coz unataka kuanzisha dini yako wewe,bible inadeclare hivyo wewe unapinga?pole sana ndugu yangu,ili kuprove kuwa ukisemacho ni uongo tena mkubwa nenda kalale ktk barabara halafu gari likukanyage kichwa,tutaona.

umekurupuka ww. Mbona ameexclude ajali? Umekunywa?
 
jaribu siku moja kujiuliza hivi mungu aliletwa na nani,naye huyo alipata wapi wazo hilo,na je asingekuwepo huyo leo hii tungekua wapi? kazi ya mungu haina makosa,ni mpango maalumu lazima utimie iwe jioni au usiku yote sawa,kili ya kua mungu yu pamoja nawe,mpaka mwisho wa dahani.
 
Back
Top Bottom