Binafsi nimeambiwa na mama yangu kuwa nilizaliwa saa 8:45 mchana,hivyo tuliozaliwa mchana tupo tena wengi sana,kufa sijui nitakufa muda gani.Lakini vilevile wapo wengi sana wanaokufa mchana mfano mdogo ni waziri wetu mkuu aliyekuwa safarini akitokea Dodoma.Kwa hiyo matukio yote mawili ninaona kama ni sehemu tu ya maisha ambapo wengine wanakuwa day shift na wengine wanakuwa night shift..
hivi "lack" huwa ni ukosefu au upungufu??
Sielewi kwa Q'uran kuzaliwa na kufa kwa Yesu inasemaje. Ila nakushauri tu pitia biblia utaona kuwa Yosef na mchumba ake walihangaika sana usiku ule kutafuta nyumba ya wageni lakini wakakosa, matokeo yake wakalala kwenye zizi la ng'ombe na huko ndo alikozaliwa Yesu, kama walikuwa wanafuta nyumba ya kujipumzisha that means ilikuwa ni usiku, unakuwaje wewe? au mibange inakuchanganya?Hii ndo shida ya watu wanafikili kwa masabuli yaani ww hata babako nafikili humjui na hata mamako atakua hakujui na ww humjui maana huyo unaemwita mamako alikuiba na hata mamako alikuzaa kwa bahati mbaya ndo maana akakutupa chooni mwana izaya mkubwa weeee....
Maajabu by definition ni kile ambacho hakitokei mara nyingi, kwa hiyo uliyosema wewe hayo si maajabu kwa sababu inaonekana ndo kawaida, kwa mujibu wako.
Kwa hiyo kabla hata sijakuuliza hizo statistics zako umezipata wapi, kwamba wengi wanazaliwa usiku na kufa usiku hakujavunja sheria yoyote ya asili.
Mi nilifikiri utatuambia habari zinazoshabihiana na maji ya mto kupanda mlima.
Maajabu by definition ni kile ambacho hakitokei mara nyingi, kwa hiyo uliyosema wewe hayo si maajabu kwa sababu inaonekana ndo kawaida, kwa mujibu wako.
Kwa hiyo kabla hata sijakuuliza hizo statistics zako umezipata wapi, kwamba wengi wanazaliwa usiku na kufa usiku hakujavunja sheria yoyote ya asili.
Mi nilifikiri utatuambia habari zinazoshabihiana na maji ya mto kupanda mlima.
kwa maana hii uliyoitoa basi mvua za misimu,kupatwa kwa jua/mwezi,radi,volcano eruptions,uchaguzi na vingine vingi
ni maajabu?
au labda unifafanulie mara nyingi inakuwaje.
kitu kinaweza kutokea mara nyingi lakini yakawa maajabu.
nieleweshe mkuu napata shida kidogo.
Hayo yote si maajabu kwa sio tu sababu yanatokea mara nyingi, bali pia yanaelezeka na kutabirika.[/QUOTE]
kwa hiyo umeona definition yako yako ilihitaji nyongeza ya maelezo.
kwa hiyo umeona definition yako yako ilihitaji nyongeza ya maelezo.
Maelezo yoyote yanayoandikwa kwa lugha ya kibinadamu yanahitaji nyongeza ya maelezo.
umeshaelewa this is only justification.
Unaruhusiwa kujifariji.
kiranga
sijifariji na kitu chochote maana uliyoitoa ya maajabu kuwa ni kitu kisichotokea mara nyingi si kweli why cant you accept that the meaning was not right?
sasa baada ya kukubali unataka kuleta ubishi usiofaa.
vitu vingi havitokei mara nyingi na bado sio maajabu sasa hapa najifariji nini ndugu yangu.
mimi nimekwambia basi hiyo maana ilihitaji kuongeza maelezo pengine ingeweza kueleweka wewe unaleta mambo mengine.
philosophicaly and even logically maajabu kuwa ni kitu kisichotokea mara nyingi haileti maana.
Haya basi, maajabu ni kitu kinachotokea kila siku. Kama vile kuchomoza kwa jua.
wewe wasema.
kumbe kukubali kukosea ni kitu kigumu sana. usijali lakini mimi ni muelewa,
na mimi hukubali kukosea na kurekebishwa na hii ndio maana ya kutaka kujua. na nikikutana na watu kama wewe pia sishangai nawaelewa pia.