DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,737
- 81,808
"Inaaana" ndo neno gani mkuu?Wewe pia hujui kuandika, "uwezi "inaaana gani?
"Inaaana" ndo neno gani mkuu?Wewe pia hujui kuandika, "uwezi "inaaana gani?
Hakyanane!Yule mtu aliwatesa watumishi wa umma ile mbaya.Sidhani kama kuna mtumishi ambaye hazijui "micro-finance institutions" kwa ajili ya kukopa.Mungu awatie nguvu.Siku moja nilitaka kukolapsi' waliponiambia huduma hii imesitishwa kwa sasa...
😂😂😂😂😂😇😇😇😂😇😇😂😂