Ulitakiwa kwanza uchukue Quran uiweke katika computer alafu ufanye Filter ya neno Day, month, land , sea , men and women
Alafu ndio uje kuweka hizo emboj
Unapenda sana kuokoteza ujinga na kufanya UPOTOSHAJI
Kwanza hoja zako ni dhaifu kwa sababu hakuna tafsiri moja ya Qur’an ambayo kila mtu anakubaliana nayo.
Tafsiri za Yusuf Ali, Pickthall, Saheeh International, nk zote hutumia maneno tofauti.
Kwa mfano, neno "day" linaweza kutafsiriwa pia kama "days, daily, daybreak," nk. Hili linaathiri matokeo ya kuhesabu.
👉 Pia Qur’an iliandikwa kwa Kiarabu. Hivyo ni lazima uhesabu neno kwa Kiarabu mfano yawm kwa "siku".
Sasa “yawm” linaweza kumaanisha siku moja, au “siku ya hukumu,” au siku ya kawaida kulingana na muktadha.
Si kila “yawm” ni siku ya kalenda ya dunia.
Kwa hiyo kusema kuwa yametajwa mara 365 ni kulazimisha maana bila kuzingatia muktadha.,na ukiweka kwa Computer inaleta idadi tofauti ,ila kwakuwa UISLAMU UPO kupotosha kama kawaida yake ,tayari ushadanganya watu kuwa Ina neno siku 365😂😂
Wataalamu wa lugha ya Kiarabu na Qur’an wanasema kuwa neno “yawm” limetajwa takriban 365 mara lakini hiyo ni kwa kujumlisha aina zote
yawm (siku)
ayyam (siku nyingi)
yawman (siku kama kielezi)
Hivyo huwezi kusema kuwa “siku” ya kalenda limetajwa mara 365.
Ni kama kusema Biblia ikitaja “siku ya Bwana” na “siku ya huzuni” basi ni sawa na kusema hizo ni siku za kalenda 365? Hapana., huo ni UPOTOSHAJI na PROPAGANDA
Isitoshe, tafiti zingine zinasema zimetajwa mara 349 au mara 368 kulingana na uhesabuji na tafsiri. Sasa, kama ni “ufunuo kamili,” mbona hesabu zinatofautiana?😂😂😂😂
Pia Hoja ya “land” na “sea” kuwa 23 na 32,ni PROPAGANDA zenu zile zile za siku zote ..
Hii pia ni hoja iliyobuniwa na kuchezewa maneno., waislamu sijui lini mtaacha huu UZUSHI..
Kwa mfano, je ulijua kuwa kuna maneno mengine yanayomaanisha bahari kama "bahr," "yam," "nahr," n.k. Ambayo hutafsiriwa kwa “sea, river, ocean”?
Hivyo, kutaja neno “sea” mara 32 ni tafsiri tu ya kisasa ya Kiengereza, si uhalisia wa maneno ya Kiarabu.
Na “land” inaweza kutafsiriwa pia kama “ardh,” “bar,” “qarya,” “balad,” n.k. Hivyo hesabu hizo zinaweza kubadilika kulingana na tafsiri uliyochagua.,NI MCHEZO MDOGO TU KAMA WA KARATA TATU😂😂
✋ Pia kumbuka,hata kama zingekuwa ni 32 na 23, bado hilo si uthibitisho wa uungu wa Qur’an.
Ni kama kusema Biblia ni ya kipekee kwa sababu neno “love” limetajwa mara 310. Hilo ni tamathali tu, si miujiza.
Pia Kuhusu neno “men” na “women” kuwa 23 ni UTAPELI ule ule wa ULIMWENGU WA KIISLAMU...
Hoja hii ni maarufu sana miongoni mwa baadhi ya Waislamu wa mtandaoni hasa watu kama wewe mnaopenda PROPAGANDA.
Lakini haithibitishwi na kila tafsiri. Tafsiri nyingi hazioneshi maneno hayo yametajwa sawa. Na hata kama yangekuwa yametajwa mara 23 kila moja, je hiyo inathibitisha chromosomes?😂😂
Qur’an uenyewe haikusema popote “binadamu ana chromosomes 23 kutoka kila mzazi.”
Huo ni ujuzi wa kisasa ambao haukuwapo kabisa kwenye jamii ya Waarabu wa karne ya 7.
Hivyo, kusema kuwa walijua mapema ni sawa na kudai kwamba mtu wa kale aliyesema “damu ni muhimu” alikuwa akizungumzia chembechembe za damu (white blood cells). Ni kudanganya.
ACHA UPOTOSHAJI