kwa haraka haraka hama hpo ulipo! maana ipo siku utajikuta unakunya hpo kijazi bila kujua..!
Uongo, uong, uongo. Hadithi hii... umetunga simulizi. Umetumia ''nguvu'' nyingi sana kujieleza. Maneno meeeengi, na kuna maneno ambayo watu waongo hupenda kuyarudia rudia... ''kusema kweli'', ''Basi bhana'' ''Kiukweli''. Halafu ulivyo kilaza ukapost na picha ukidhani ndiyo utaweza kuteka watu.Habari
Kiukweli nipo kweny mshangao kubwa na siamini hiki ninachokiona na sielewi nini kimetokea.
Leo alfajiri majira ya saa 11 na nusu nimeamka vzuri tu na kwenda msikitini kuswali. Na kumbukumbu zangu zipo vzur kuwa mlango wa chumba changu nimeufunga na kama kawaida funguo huwa naweka kwenye kifuko kadogo cha suruali
View attachment 1968848
Majini pia huswalisasa jini na msikiti vinahusiana nini?
Hivyo vitasa ni chenga, unaweza ukakifokea tu na kikafunguka...
Rudisha tu funguo ya watu...
HahahahahHivyo vitasa ni chenga, unaweza ukakifokea tu na kikafunguka...
Rudisha tu funguo ya watu...
Elfu kumi na tano 15,000/=! Itamlazimu aende msikitini kuomba msaada.
Hivyo vitasa ni chenga, unaweza ukakifokea tu na kikafunguka...
Rudisha tu funguo ya watu...
Umeni-Ignore???Rudisha ufunguo wa watu hujauokota eti, umechukua ufunguo usio wako.