Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Ama kweli duniani kuna maajabu ya kutisha. Yametokea huko majuu kwa ndugu wa mama mmoja kupendana sana kimapenzi kiasi cha dada kukubali kuachika na mumewe aliyezaa nae binti. mama wa watu hao aliwababamba sebuleni wakijivinjari, hakuamini macho yake, alipagawa na kupiga kelele akapiga simu polisi, walishtakiwa kwa kutenda kosa la kujamiiana. hatimaye kipimo cha GSA kiitwacho Genetic Sexual Atraction, ikimaanisha kuna genes ambazo huwafanya ndugu wawe crazy atracted sexually with each other kilichukuliwa kwa ndugu hao. na majibu kutoka kuwa kinashaabiana na ndugu hao. hivyo ripoti inasema GSA ipo kwa asilimia zaidi ya hamsini kwa wanandugu wanaokuja fahamiana ukubwani. mama yao aliwaomba radhi vijana wake na akaisihi jamii kutowatenganisha watoto mpaka ukubwani. baada ya haya jamani tusiwashangae sana ndugu kupendana ni genetic make up............