Kama tunavyo jua ndugu zangu wapendwa, Tanzania inataka kuunda serekali tatu,
1) Serekali ya Tanganyika
2) Serekali ya Zanzibar
3) Na Serekali ya Muungano.!
Tanzania itakuwa inchi ya kwanza duniani kufanya jambo hili la kiajabu (na inchi yenyewe ni maskini)
Niambieni jamani vipi inchi itaongozwa na Maraisi watatu (hii haiwezekani kabisa).
Hata katika meli rubani wake ni mmoja tu (ukiweka marubani watatu meli itazama tu).
Uwamuzi bora kabisa ni huu ufuatao; kila inchi ichukue Khamsini zake, Tanganyika iwe huru na Zanzibar iwe huru (na kila inchi iwe na raisi wake).
Na baada ya inchi hizo kuwa huru (ifanywe mkataba wa undugu baina ya Tanganyika na Zanzibar). hakika akili ni nywele na wewe zako zimeishia hapo eti.
utakuta mtu na akili zake kazaliwa miaka ya 1970s na kuendelea. eti analalamika ooo naitaka tanganyika yangu hv unajua neno tanganyika lilitokea wap?? nchi ya tanganyika ilidumu kwa muda gani?? pumbav wewe ni MTANZANIA .nukta.
Tanganyika ndiyo nchi yangu, bahati mbaya kabisa Nyerere alitamani kinipa nchi ya kambo inilelee lakini haikuwa na mapenzi na mimi.
Nataka kurudi kwa mama yangu mzazi,Tanganyika.
Tanzania nitamheshimu kama mama mlezi tu.Wazanzibar msihofu Watanganyika kuwa na serikali yao ni haki yao kama ilivyo kwa serikli ya Mapinduzi.
Ndugu wengi humu ni watu wazima na akili zao!Kama tunavyo jua ndugu zangu wapendwa, Tanzania inataka kuunda serekali tatu,
1) Serekali ya Tanganyika
2) Serekali ya Zanzibar
3) Na Serekali ya Muungano.!
Tanzania itakuwa inchi ya kwanza duniani kufanya jambo hili la kiajabu (na inchi yenyewe ni maskini)
Niambieni jamani vipi inchi itaongozwa na Maraisi watatu (hii haiwezekani kabisa).
Hata katika meli rubani wake ni mmoja tu (ukiweka marubani watatu meli itazama tu).
Uwamuzi bora kabisa ni huu ufuatao; kila inchi ichukue Khamsini zake, Tanganyika iwe huru na Zanzibar iwe huru (na kila inchi iwe na raisi wake).
Na baada ya inchi hizo kuwa huru (ifanywe mkataba wa undugu baina ya Tanganyika na Zanzibar).
Suala la kudai Tanganyika yetu halihusiani na tumezaliwa lini you idiot. Asili ya jina la nchi haimzuii mwananchi kudai nchi yake.
Huo muungano wenu wa kuwafaidisha Wapemba huku sisi tunaambulia matusi binafsi sina shida nao. Na siku nyingine usije na hoja za kujishaua km mtoto wa kike wa uswahilini wky watu wanadai Tanganyika yao
utakuta mtu na akili zake kazaliwa miaka ya 1970s na kuendelea. eti analalamika ooo naitaka tanganyika yangu hv unajua neno tanganyika lilitokea wap?? nchi ya tanganyika ilidumu kwa muda gani?? pumbav wewe ni MTANZANIA .nukta.
Kama tunavyo jua ndugu zangu wapendwa, Tanzania inataka kuunda serekali tatu,
1) Serekali ya Tanganyika
2) Serekali ya Zanzibar
3) Na Serekali ya Muungano.!
Tanzania itakuwa inchi ya kwanza duniani kufanya jambo hili la kiajabu (na inchi yenyewe ni maskini)
Niambieni jamani vipi inchi itaongozwa na Maraisi watatu (jambo hili haliiwezekani kabisa).
Hata katika meli rubani wake ni mmoja tu (ukiweka marubani watatu meli itazama tu).
Uwamuzi bora kabisa ni huu ufuatao; kila inchi ichukue Khamsini zake, Tanganyika iwe huru na Zanzibar iwe huru (na kila inchi iwe na raisi wake).
Na baada ya inchi hizo kuwa huru (ifanywe mkataba wa undugu baina ya Tanganyika na Zanzibar).
yani hata kuandika kiswahili fasaha na sanifu hujui...hii inareflect ulivyo m'bovu kitaaluma (kilaza) na kipofu wa fikra....HEBU PIGANIA UONGEZE ELIMU YAKO KWANZA..Hilo ndilo la msingi kwa sasa...kuliko kujaza server kwa huu ushuzi hapa
Anaemuona mwenzake upumbavu bila shaka yeye ndio pumbav, Duuh!
kilaza zaidi ni huyo aliyeibua hili wazo la serikali tatu. ameharibu sana vichwa vya watu.