Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,908
- 2,480
Kama tunavyo jua ndugu zangu wapendwa, Tanzania inataka kuunda serekali tatu,
1) Serekali ya Tanganyika
2) Serekali ya Zanzibar
3) Na Serekali ya Muungano.!
Tanzania itakuwa inchi ya kwanza duniani kufanya jambo hili la kiajabu (na inchi yenyewe ni maskini)
Niambieni jamani vipi inchi itaongozwa na Maraisi watatu (jambo hili haliiwezekani kabisa).
Hata katika meli rubani wake ni mmoja tu (ukiweka marubani watatu meli itazama tu).
Uwamuzi bora kabisa ni huu ufuatao; kila inchi ichukue Khamsini zake, Tanganyika iwe huru na Zanzibar iwe huru (na kila inchi iwe na raisi wake).
Na baada ya inchi hizo kuwa huru (ifanywe mkataba wa undugu baina ya Tanganyika na Zanzibar).
1) Serekali ya Tanganyika
2) Serekali ya Zanzibar
3) Na Serekali ya Muungano.!
Tanzania itakuwa inchi ya kwanza duniani kufanya jambo hili la kiajabu (na inchi yenyewe ni maskini)
Niambieni jamani vipi inchi itaongozwa na Maraisi watatu (jambo hili haliiwezekani kabisa).
Hata katika meli rubani wake ni mmoja tu (ukiweka marubani watatu meli itazama tu).
Uwamuzi bora kabisa ni huu ufuatao; kila inchi ichukue Khamsini zake, Tanganyika iwe huru na Zanzibar iwe huru (na kila inchi iwe na raisi wake).
Na baada ya inchi hizo kuwa huru (ifanywe mkataba wa undugu baina ya Tanganyika na Zanzibar).