Maajabu: Karani mwongoza wapiga kura anahitajika kuwa na elimu angalau kidato Cha nne ila Mbunge wa Bunge anahitajika kujua kusoma na kuandika pekee

Maajabu: Karani mwongoza wapiga kura anahitajika kuwa na elimu angalau kidato Cha nne ila Mbunge wa Bunge anahitajika kujua kusoma na kuandika pekee

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
5,149
Reaction score
14,488
Hizi ni ishara za kuwa na watu waliovimbewa na kujiona wanaweza kutuwekea vigezo vya uongozi kulingana na sifa za wanafamilia wao. Hivi kweli Mtunga sera, mchambuzi wa maswala ya kijamii na mtetezi wa katiba ya nchi awe anajua kusoma na kuandika pekee huku Karani mwongoza wapiga kura awe na cheti Cha kidato Cha nne pamoja na sifa za ziada za kuwa mtiifu, mwaminifu na mwenye akili timamu?

Diwani ambaye ndiye mwenyekiti wa vikao vya maendeleo vya kata WADC sifa zake ziwe kujua kusoma na kuandika pekee huku, mfanya usafi wa ofisi ya mkuu wa wilaya akitakiwa kuwa na elimu angalau kidato Cha nne asee haya ni maajabu
 
Hizi ni ishara za kuwa na watu waliovimbewa na kujiona wanaweza kutuwekea vigezo vya uongozi kulingana na sifa za wanafamilia wao. Hivi kweli Mtunga sera, mchambuzi wa maswala ya kijamii na mtetezi wa katiba ya nchi awe anajua kusoma na kuandika pekee huku Karani mwongoza wapiga kura awe na cheti Cha kidato Cha nne pamoja na sifa za ziada za kuwa mtiifu, mwaminifu na mwenye akili timamu? Diwani ambaye ndiye mwenyekiti wa vikao vya maendeleo vya kata WADC sifa zake ziwe kujua kusoma na kuandika pekee huku, mfanya usafi wa ofisi ya mkuu wa wilaya akitakiwa kuwa na elimu angalau kidato Cha nne asee haya ni maajabu
Hi ndo Tanzania mkuu acha kusahangaa.
 
1751261641810.png

Wabunge watatajiwa.
 
Hizi ni ishara za kuwa na watu waliovimbewa na kujiona wanaweza kutuwekea vigezo vya uongozi kulingana na sifa za wanafamilia wao. Hivi kweli Mtunga sera, mchambuzi wa maswala ya kijamii na mtetezi wa katiba ya nchi awe anajua kusoma na kuandika pekee huku Karani mwongoza wapiga kura awe na cheti Cha kidato Cha nne pamoja na sifa za ziada za kuwa mtiifu, mwaminifu na mwenye akili timamu? Diwani ambaye ndiye mwenyekiti wa vikao vya maendeleo vya kata WADC sifa zake ziwe kujua kusoma na kuandika pekee huku, mfanya usafi wa ofisi ya mkuu wa wilaya akitakiwa kuwa na elimu angalau kidato Cha nne asee haya ni maajabu
Tanganyika maajabu ni mengi ila sema tu kwamba mengine yanapuuzwa likiwemo na hili.
 
Hizi ni ishara za kuwa na watu waliovimbewa na kujiona wanaweza kutuwekea vigezo vya uongozi kulingana na sifa za wanafamilia wao. Hivi kweli Mtunga sera, mchambuzi wa maswala ya kijamii na mtetezi wa katiba ya nchi awe anajua kusoma na kuandika pekee huku Karani mwongoza wapiga kura awe na cheti Cha kidato Cha nne pamoja na sifa za ziada za kuwa mtiifu, mwaminifu na mwenye akili timamu?

Diwani ambaye ndiye mwenyekiti wa vikao vya maendeleo vya kata WADC sifa zake ziwe kujua kusoma na kuandika pekee huku, mfanya usafi wa ofisi ya mkuu wa wilaya akitakiwa kuwa na elimu angalau kidato Cha nne asee haya ni maajabu
Nilisoma lile tangazo la ajira za muda, kwenye sifa hizo na mimi wazo kama hilo likaniijia. Mbunge walau ajue kusoma na kuandika, karani walau f4+ kweli hii nchi bado tuna safari ndefu. Tunaweza kuchekwa hadi na mwendawazimu
 
Hizi ni ishara za kuwa na watu waliovimbewa na kujiona wanaweza kutuwekea vigezo vya uongozi kulingana na sifa za wanafamilia wao. Hivi kweli Mtunga sera, mchambuzi wa maswala ya kijamii na mtetezi wa katiba ya nchi awe anajua kusoma na kuandika pekee huku Karani mwongoza wapiga kura awe na cheti Cha kidato Cha nne pamoja na sifa za ziada za kuwa mtiifu, mwaminifu na mwenye akili timamu?

Diwani ambaye ndiye mwenyekiti wa vikao vya maendeleo vya kata WADC sifa zake ziwe kujua kusoma na kuandika pekee huku, mfanya usafi wa ofisi ya mkuu wa wilaya akitakiwa kuwa na elimu angalau kidato Cha nne asee haya ni maajabu
NO REFORMS NO ELECTION, Watanzania wanajua vyama vingine nje ya CHADEMA ni Mali ya CCM hivyo uchaguzi bila CHADEMA tafsiri yake ni kwamba CCM inasimama peke yake kwenye uchaguzi na kujipigia kura.NO REFORMS NO ELECTION Hesabu zetu tunazifungia hapo.
 
Back
Top Bottom